MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Kwa hiyo unataka kutuambia Zitto ni fisadi?Ile ya Zitto ni mipasho kwa Katibu Mkuu wake aliezigombania posho alipokuwa Bungeni. Huko kwao kunafukuta chini kwa chini. Hapo mnyika hagusi.
Halafu azikatae posho? na ndio zilizompeleka Bungeni na bado hajatengeneza pesa za kuweza kumfanya akatae posho, mwenzake Zitto kisha jijenga mapeeema. Hata barick wamemsadia jimboni kwake, sasa wewe uliona barick wakisaidi jimbo la Mnyika? watu wana masalahi yao pale.
Huyo Mnyika hata siku moja hawezi kurudisha posho. Ile kususa yenyewe kwanza walikuwa wanaenda kusaini, posho ziingie.