Richmond kutikisa Bunge

Ile ya Zitto ni mipasho kwa Katibu Mkuu wake aliezigombania posho alipokuwa Bungeni. Huko kwao kunafukuta chini kwa chini. Hapo mnyika hagusi.

Halafu azikatae posho? na ndio zilizompeleka Bungeni na bado hajatengeneza pesa za kuweza kumfanya akatae posho, mwenzake Zitto kisha jijenga mapeeema. Hata barick wamemsadia jimboni kwake, sasa wewe uliona barick wakisaidi jimbo la Mnyika? watu wana masalahi yao pale.

Huyo Mnyika hata siku moja hawezi kurudisha posho. Ile kususa yenyewe kwanza walikuwa wanaenda kusaini, posho ziingie.
Kwa hiyo unataka kutuambia Zitto ni fisadi?
 
mi nilidhani utapeleka hoja binafsi kuhusu matatizo ye2 ya maji UBUNGO,unang'ang'ania richmond,2015 itakupasa u2ambie umelifanyia nini jimbo le2.

Ninyi ndio mnaotibu maumivu ya kichwa bila kujua kuwa ni kansa ya jicho inayosababisha.
 
Nikushukuru Mnyika ku2pa ufafanuzi hapa mkuu,ningekupatia wapi wakati mi nipo kagongwa kahama
 
Humu mi ni mgeni sana ila nlipatamani mda mrefu,hoja yangu ya kwanza ndo hii.inafahamika skendo ya richmond ilivomtese lowassa mpaka sasa ana2mia fund kujisafish ktk makanisa kisa magogoni,vp wenzangu mana mmeskia kuna hoja ya MNYIKA ktk bunge lililoanza kuhusu richmond,itamnusuru ama ndo ITAMMLIZA?

Mujuni mimi nafikiri hapa lowasa haguswi ila serikali maana yeye adhabu yake tayari. Hapa wanazungumzia maamuzi ya bunge kwa nini hayajafanyiwa kazi, hivyo labda Pinda na JK wanaweza kuingia mtegoni zaidi
 
Hongera sana Mheshimiwa JJ Mnyika. Nadhani ungewashauri wabunge wenzio wa CDM kuwasiliana na wapiga kura wao kwa njia hii ya mtandao na kujibu maswali na hoja zao. Keep it up honorable Mnyika and I wish you all the best hapo mjengoni.
 
Uvivu wa kusoma historia!

na wewe ni great thinker pia?napata tabu kuamini hivyo kutokana na ulivyoandika,anyway watu humu tuko tofauti lakini ukweli utabaki pale pale haiyumkiniki kujaribu kutuamnisha sitta alitaka uwaziri mkuu bila kutueleza sawa sawa kati ya waziri mkuu na spika ni yupi anaanza kupatikana?kwa sababu mimi kwa huu ujinga wangu nilionao naelewa kwamba bunge ndilo linalomudhinisha waziri mkuu,na katika hali ya kawaida hakuna bunge linaloweza kukaa ili kuidhinishi jina la waziri mkuu bila ya kuwa na spika thats why nikauliza kwa hiyo sitta alitaka awe waziri mkuu na spika yeye mwenyewe?kama hapana kwa nini basi aligombea uspika wakati lengo lake lilikua ni uwaziri mkuu?je hakuona kwa kugombea uspika alikua anahatarisha na kuifuta ndoto yake ya kuwa waziri mkuu,hakulijua hilo kama unavyolijua wewe?
 
na wewe ni great thinker pia?napata tabu kuamini hivyo kutokana na ulivyoandika,anyway watu humu tuko tofauti lakini ukweli utabaki pale pale haiyumkiniki kujaribu kutuamnisha sitta alitaka uwaziri mkuu bila kutueleza sawa sawa kati ya waziri mkuu na spika ni yupi anaanza kupatikana?kwa sababu mimi kwa huu ujinga wangu nilionao naelewa kwamba bunge ndilo linalomudhinisha waziri mkuu,na katika hali ya kawaida hakuna bunge linaloweza kukaa ili kuidhinishi jina la waziri mkuu bila ya kuwa na spika thats why nikauliza kwa hiyo sitta alitaka awe waziri mkuu na spika yeye mwenyewe?kama hapana kwa nini basi aligombea uspika wakati lengo lake lilikua ni uwaziri mkuu?je hakuona kwa kugombea uspika alikua anahatarisha na kuifuta ndoto yake ya kuwa waziri mkuu,hakulijua hilo kama unavyolijua wewe?
Uvivu wa kusoma historia!
 
Asante kwa maoni. Hoja Binafsi ya masuala ya maji Ubungo nilishapeleka, nafasi ya kuwasilisha haikutolewa lakini nilipenyeza hoja husika kwa njia nyingine na hatua zikaanza kuchukuliwa. Na naendelea kufuatilia masuala ya maji kama ambavyo nafuatilia pia mambo mengine niliyotumwa na wananchi wa Ubungo. Hili la Richmond nalo ni la jimbo la Ubungo, mitambo yenyewe ilikuwa pale Ubungo kampuni iliyorithi ya Dowans mitambo yake iko Ubungo ambayo ndiyo sasa iko chini ya Symbions. Aidha, matatizo ya umeme kuanzia gharama mpaka upatikanaji wake yanawahusu pia wananchi wa Ubungo. Kabla ya kuja bungeni nilikuwa na mkutano na wananchi kwenye mitaa mbalimbali ya kata ya Kwembe yote niliyokwenda mpaka mtaa wa King'azi wananchi wameeleza kuhusu kero ya umeme na kutaka kwenye hoja hii ya richmond niweke mkazo kuhakikisha masuala hayo yanashughulikiwa. Wewe uko kata gani?

JJ
Mheshimiwa kweli wewe ni jembe na upo kazini, naomba nikukumbushe kuwa kutokana na hiyo mitambo iliyoko Ubungo ina mikataba ya kifisadi maana hawa watu wanazidi kuchota Tshs 156,000,000,/=(USD$ 100,000) kila siku iitwayo leo!!!! Nakumbuka wakati Mheshimiwa Mwakyembe aliposoma ripoti ya RICHIMOND bunge liliamua kuwa mikataba ivunjwe na malipo hayo yasitishwe, sasa mbona mikataba imekuwa extended hadi leo imezaliwa SYMBION toka ufisadi wa RICHIMOND!!!!! Sasa nyinyi wabunge ambao ni vichwa vyetu vya kutunga sheria mnampango gani kulinasua taifa na huu wizi wa mchana unaomaliza taifa kupitia TANESCO???

 
Mujuni, hilo ndio dodoki la uhakika na maji ni JIK iliyochanganywa na parazon. Baada ya hapo EL atang'ara kama theluji, mchana atamulika kama jua na usiku atangaa kama mwezi huku akimeremeta kama nyota!.
Mkuu Pasco huyo mtu wako EL unataka ang'are aende wapi, kama alishindwa akiwa waziri mkuu kuzuia na kushiriki wizi wa RICHMOND unaofilisi taifa hadi leo nchi imebaki utupu akiwa Raisi nchi itakuwaje?????????
 
ndio ninalo,unadhani ni kwanini alikimbilia kuwajibika wakati mwakyembe alimtaka "apime" tu?
Kwani Mwinyi alijiuzuru vipi uwaziri wa mambo ya ndani? Kwani alienda kwenye gereza kule Shinyanga kuua! Aliwajibika kutokana na makosa ya maafisa wa chini yake. Lowassa alipima upepo na akakuta watendaji wa chini yake wamefanya blunders thats why akastep down.Rejea kikamilifu ripoti ya Mwakyembe ilivyoainisha makosa ya waziri mkuu.
 
Siku zote mie huwa nasema Mnyika ana akili km za embe dodo. Hili suala liliisha fungwa na Bunge sasa kwa akili za embe dodo anajitafutia umaarufu wakulazimisha. Jimboni ubungo hajafanya lolote mpaka sasa zaidi ya maandamano. Na anaevutiwa na huyu kwa kweli nae ana akili za embe dodo.

Na hii hoja yake tupo hapa haiwezi kupita hata kwa bunduki

Vipi Zero Brain umestuka nini boss wako wataguswa ulidhani mambo yamekwisha, ndio sasa yameanza sumu na tindikali mtamwagia wangapi?????????
 
ndio unaokusumbua sio?sasa kwanini unakua mvivu wa kujisomea hiyo historia?unazo sababu zozote labda
Wacha nikudokezee kidogo wewe idiot! Sitta aliutaka sana uwaziri mkuu toka mwanzo [ kama unakumbuka hawa walikuwa katika kundi moja the so called "wana mtandao" ]. Lakini JK alimprefer EL zaidi kuliko 6. So 6 akashauriwa akagombee uspika tu and then watamsupport. So tokea hapo 6 akawa na kinyongo na Lowassa. It was a planned process and not an overnight phenomena. Try to think big idiot mkubwa wewe.
 
Wacha nikudokezee kidogo wewe idiot! Sitta aliutaka sana uwaziri mkuu toka mwanzo [ kama unakumbuka hawa walikuwa katika kundi moja the so called "wana mtandao" ]. Lakini JK alimprefer EL zaidi kuliko 6. So 6 akashauriwa akagombee uspika tu and then watamsupport. So tokea hapo 6 akawa na kinyongo na Lowassa. It was a planned process and not an overnight phenomena. Try to think big idiot mkubwa wewe.

Huwa una cooked drama kwenye mada zenye maslai kwa umma.
 
Siku zote mie huwa nasema Mnyika ana akili km za embe dodo. Hili suala liliisha fungwa na Bunge sasa kwa akili za embe dodo anajitafutia umaarufu wakulazimisha. Jimboni ubungo hajafanya lolote mpaka sasa zaidi ya maandamano. Na anaevutiwa na huyu kwa kweli nae ana akili za embe dodo.

Na hii hoja yake tupo hapa haiwezi kupita hata kwa bunduki


Wewe utakuwa ni GenitalsBrain.........na sijui kama we Mtanzania au wa nchi jirani......................
 
Na mnyika ndio atakua anajinyonga kisiasa hapa,ndio maana kila wakati mimi huwa namuona zitto kabwe miongoni mwa hawa vijana ni kijana mwenye maarifa ya hali ya juu sana katika kufanya siasa,zitto ni mtu wa principle na huwa hana rafiki wa moja kwa moja,ndio maana mafisadi wanashindwa kumtwisha hoja kama hizi,wanajua hawezi kukubali hasa ndani ya bunge,anaweza kuwasaidia pengine tena kwa wakati fulani tu then kila mtu ashike hamsini zake,huwa hataki kujuana zaidi.
Wewe ni mgonjwa karibuni tutakupeleka Mulago sorry Muhimbili sijui kama madaktari wapo ili upimwe brain yako!!!!!! Mheshimiwa amekuja na hoja ya msingi wewe unatia maji!!!

 
sana sana itatufanya tuwajue zaidi wachafu wenzake lowassa akiwemo jk kama kweli anahusika husika,lakini bahati mbaya sana lowassa ataendelea kuwa mhanga kwa kuwa matarajio yake ya kisiasa yatayeyuka wakati jk hana tena cha kupoteza kwa kuwa kama kiti cha urais atakuwa keshakikalia na unenyekiti wa ccm pia keshaukalia,lowassa ndio mwenye ndoto na viti hivyo,itakua imekula kwake,utoto wa mjini ndio raha yake hapo,si unajua monduli mbali sana na dar!
Mkuu THE ROMANTIC je wabunge wa CCM watakuwa tayari kujifunga mabomu wapige kura ya kutokuwa na imani na Raisi????

 
Ivi hamjui ata kupanda kwa bei za umeme ivi punde Richmond inahusika?
Sasa mtu anayeonda hii sio issue ya kuiibua upya atakuwa naishi nje ya nchi.
Kila kitu kimepand kisa 40% increment ya TANESCO na ukiuliza ni kupanda kwa gharama za uendeshaji
 
Back
Top Bottom