Kesi bado inaendelea na haikufunguliwa na huyu mama. Ilifunguliwa na wana ccm watatu wa jimbo la Arusha kwahiyo huyo bibie anasikilizia tu! Hata hivyo, JK naona kampeleka karibu na Arusha ili aendelee kujipanga!
Naona maoni ya wengi mliotoa ni kama fumbo. Tunaomba ufafanuzi.
Ina maana mtu akishindwa katika uchaguzi wa bunge hana sifa ya kuwa kiongozi katika nafasi yoyote? Mimi ningeomba ufafanuzi zaidin ili niweze kuchangia vizuri katika suala hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.