Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,611
- 867
Serikali ishindwe? waulize magwanda na wanafunzi wa mlimani.
Kukutana ni madaktari waliofanya dharau jana, Waziri Mkuu kawangoja hawakutokea, walitaka wabembelezwe? Mwanachi ataekuwa nyuma ya hawa na kuwaunga mkono huyo haitakii mema Tanzania.
Tuombe mgomo huo uishe salama lakini kuwaona maeneo ya kazini siyo tija maana wanaweza kuwa katika mgomo baridi ambao ni mbaya sana kwa maana athari zake ni kubwa sana. Unakuwa unalipa watu ambao hawafanyi kazi maana watakuwa wanafika na kuondoka huku hawajafanya kazi na wewe unataka kujiridhisha kama wamesaini vitabu vya mahudhurio.