Dada mzima kama mzima ni furaha kwangu mimi nashida na msichana wa kazi za ndani Lakini awe ni wakuja na kuondoka maana na sababu za kufanya hivyo tatizo cijajua uko dar maeneo gani ila mimi niko tabata KIMANGA kama upo OK njoo tupatane kabisa.
Wewe mtoa mada unazo siyo unataka mteremko kama mlima kitonga angalia kwanza na hali ya sasa mjini hapa hatujaja kuoa kwa ajili ya kuwa sponsor wa mashemeji kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyewe ni hayo tu thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.