Nataka kuwa maarufu

Beira Boy

JF-Expert Member
Aug 7, 2016
17,895
25,945
Habali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
 
dah we jamaaa noma umaarufu hauji kwa kujitangaza hivo jibidishe tu kwa kazi utafanikiwa kuwa maarufu na wala hutofikiria kuja kujitangaza maarufu ni hayo
 
Habali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
Fanya kumpiga mimba wema sepetu
 
Ukikaa katika kundi la watu jambaa sanaaa yani jambaa saana hapo wataanza kukuzungumzia tu zen tafuta kitu cha kufanya utaitwa flani mjambaji jichetue tu
 
Nenda eneo lenye watu wengi, vua nguo anza kupiga push up na ikiwezekana ukunye kabisa.

Ndani ya nusu saa Video ya tukio lako itakuwa imeshasambaa nchi nzima. Tayali umeshajulikana.
 
Back
Top Bottom