Kuahidi tu sio tatizo kwa sababu hata wewe unaweza kuahidi utawapeleka wanadamu wote mbinguni kama Mungu asipowapeleka. Huwezi kukosa watu wajinga watakaoamini ahadi yako.Ndio kashaahidi hivyo, kama imekuuma saga chupa unywe
"Adhabu ya kaburi aijuae maiti"Mwenye mamlaka ya kusema kuna njaa ni rais. Chakula cha nn akati rais kasema njaa hakuna
Itafahamika tuKwani chadema wana shamba?
na itakuja marufuku ya kugawa chakula vinginevyo kibali kitolewe na wakuu wa mikoa husika.Hii habari lazima inajadiliwa muda huu huko Lumumba.
Kumbuka anayejua kuwa Tanzania kuna njaa au hakuna ni raisi pekee, akitangaza kuwa ipo basi chadema watagawa lakini kama hajatangaza labda chakula mkipitishe chini ya ardhi otherwise huo utakuwa na uchochezi liveKama kuna sehemu yenye njaa namuunga mkono lowasa kupeleka chakula hilo tamko alilolitoa kanisani linaendana na Biblia Yesu alisema nilikuwa na njaa mkanilisha kazi ya chama cha siasa ni kutafuta ufumbuzi wa matatizo halisia ya wananchi. KWA KUTOA UFUMBUZI HALISIA KWA MATATIZO HALISIA ONEKANA KIHALISIA CHADEMA NA LOWASSA HONGERENI Ila MTIMIZE AHADI ZENU TUMIENI HATA RUZUKU KUHUDUMIA WENYE NJAA HALISIA MIMI KAMA MLIPA KODI AMBAYO NI RUZUKU MNAYOPEWA NIKO PAMOJA NA NINYI KWA HILI. TUNATAKA VYAMA VYOTE VITOE UFUMBUZI KWENYE MATATIZO HALISIA. NILIWAPONGEZA HATA ACT WAZALENDO KWA KUSOMESHA BURE BURE WATOTO WOTE KIDATO CHA TANO NA SITA KWENYE HALMASHAURI YAO. HONGERA CHADEMA HONGERA LOWASSA MKIWEZA TAFUTENI HATA PESA ZA KUKOPESHA WANAFUNZI ELIMU YA JUU. MTAUNGWA MKONO NA KILA MTU MIMI NIKIWEMO. TUNATAKA CHAMA CHOCHOTE KITATUE MATATIZO HALISIA YA WANANCHI KEEP UP LOWASSA AND CHADEMA
Fupisha kinyesi chako.Mzandiki!"nimetafsiri tu"Cut the loong shytt short. Hypocrite!
Yaani watu wanakufa kwa njaa lakini Makufuri anawakejeli. Ni bora CHADEMA waokoe jahazi.Mjumbe wa kamati kuu Chadema, Mhe Edward Lowassa akiwa na mbunge wa Bukoba mjini wameudhuria ibada katika kanisa la KKKT. Akiwa kanisani Mhe Lowassa ametoa kauli.
''Mh rais amesema hatatoa chakula. Mimi nimewasiliana na chama changu tumeona tuwape chakula watanzania. Naamini dunia itasikia'', alisema Lowassa.
Dsm hakuna anayelima lakini watu wanakula...Kwani chadema wana shamba?
Milele daimaTumsifu Yesu Kristo
Aaamen ila huo mchakato utafanyiwa fitina mpaka ushindikaneMjumbe wa kamati kuu Chadema, Mhe Edward Lowassa akiwa na mbunge wa Bukoba mjini wameudhuria ibada katika kanisa la KKKT. Akiwa kanisani Mhe Lowassa ametoa kauli.
''Mh rais amesema hatatoa chakula. Mimi nimewasiliana na chama changu tumeona tuwape chakula watanzania. Naamini dunia itasikia'', alisema Lowassa.