vipi kuhusu muvies hapo..nitapata channel za muvi hata mbili tatuInawezekana kabisa, ila sio 'BURE'. Nunua receiver yenye uwezo wa kufungua channels zilizofungwa kwa powervu, kama vile Freesat, Gsky, Hometech ama Qsat Q26 na matoleo ya mbele yake. Baada ya hapo nunua dish la ft 6 ama ft 8, unakua umemaliza kazi. Tafuta fundi, akufungie satellite ya NSS 12 iliyo nyuzi 57E (ppana Sports 24, inayorusha EPL) ama Intelsat 20 iliyo nyuzi 68E (pana channels za Sony zinarusha pia EPL). Hapo utapata mpira wa EPL
kwa nyuzi 57 & 68.5 utapa channel 4 za movies (English), na zingine za kihindivipi kuhusu muvies hapo..nitapata channel za muvi hata mbili tatu
nimescan hapo hamna kitu mbona...MORE CHANEL 12302 27500 H
And me my number is 0629254611Asante kwa elimu nzuri naomba kama kuna group la WhatsApp la mambo haya au mambo ya ufundi plz add me 0784815017
Zipo sana tu. Kwa Intelsat 20 kuna HBO na channels kadhaa za Kihindi, hizi zinarusha movie muda wote. HBO ni za Kiingereza, na hizo za Kihindi zinarusha movie za Kihindi. Kwa NSS 12 zipo pia katika channel ya Colors wanarusha pia.vipi kuhusu muvies hapo..nitapata channel za muvi hata mbili tatu
Zipo sana tu. Kwa Intelsat 20 kuna HBO na channels kadhaa za Kihindi, hizi zinarusha movie muda wote. HBO ni za Kiingereza, na hizo za Kihindi zinarusha movie za Kihindi. Kwa NSS 12 zipo pia katika channel ya Colors wanarusha pia.
Pamoja sanaasanteni
hawa jamaa wa continental hawapatikani siku hizi?Zipo sana tu. Kwa Intelsat 20 kuna HBO na channels kadhaa za Kihindi, hizi zinarusha movie muda wote. HBO ni za Kiingereza, na hizo za Kihindi zinarusha movie za Kihindi. Kwa NSS 12 zipo pia katika channel ya Colors wanarusha pia.
Wamehama kaka. Wapo ABS 2 @ 75°E. Wako pamoja na TING
zinapatikana kama zamani? au wameweka encryption naoWamehama kaka. Wapo ABS 2 @ 75°E. Wako pamoja na TING
Wamezifunga, ila sometimes huwa wanaziachia, ingawa ni mara chache sana.zinapatikana kama zamani? au wameweka encryption nao
Ni vema sana ndugu, JF ina kila kitu unachohitaji. Anzia HAPA, kisha uje HAPA na umalizie HAPA. Naamini kuta kitu cha maana sana utakua umejifunza kwenye hizo threads.napenda sana kufahamu elimu ya dish installation..
Mengi yana sm 90 (futi tatu) ama pungufu kidogoDish la azam lini ukubwa gani kwa vipimo.??
elimu bila nyenzo bado haijakamilika... ngoja nitafute kwanza vifaa nikianzia na hizo receiver, lnb nk.Ni vema sana ndugu, JF ina kila kitu unachohitaji. Anzia HAPA, kisha uje HAPA na umalizie HAPA. Naamini kuta kitu cha maana sana utakua umejifunza kwenye hizo threads.