Dah... Umeona eehhizo biti tu.sirudishi

haha wanazingua tu .boya tu ndo atakayerudishaDah... Umeona eeh
...kama angekuwa na uwezo kwa nini asiitrak au kumfanya aliyechukua airudishe mwenyewe?![]()
![]()
muda mwingine anakutahadhalisha tu, ili kabla hajafanya atakacho.Anayeweza kufanya huwa hasemi.....
Sifa za kijingaTafadhari = tafadhali
Mbona unacheka sana dada scorpion vipi tena![]()
![]()
oyaa rudisheni kabla "majanga" hayajawakuta
Nimefurahi tuMbona unacheka sana dada scorpion vipi tena
Siku hizi n tofauti mkuu tena wanatoa Na deadline.Anayeweza kufanya huwa hasemi.....
Sifa za kijinga
Halafu nahisi wewe utakuwa mwanga si bure
Acha utoto wewe ni lizee na wajukuu unao!Tafadhari = tafadhali
ndio nini hiki umeandika?Nikajua umeniweka Mimi, ningetililika utumbo wako wote na kesho ningekufungulia kesi....pumbaf, kuna mtu mzima nimemsitiri sana kwa alichokifanya kinaendana sana na hiki kiss....hahahaaa
Mkuu albadir inagusa hadi familia na haina hatia au?Albadir yoyote wakitaka kusoma lazima watangaze ndio utaratibu.. ili mwizi ajijue maana ikishasomwa madhara yake ni makubwa mno na hutoweza kurudi kwenye hali ya kawaida
Wote walioshirikiana katika wiziMkuu albadir inagusa hadi familia na haina hatia au?