Recent content by tengi

  1. T

    Kesi ya kumpa Mimba mwanafunzi

    Pole sana mkuu,iyo ilinitokea hata Mimi lkn nilimpa adabu huyo alieniharibi mjomba wangu nilimlaza lokapu cku mbili na baadae akaenda segerea miezi 6 mpk wazee wake wakawa wa naomba suluhu nikawaaambia ili yaishe tukubaliane jinc watavyomsomesha mjomba wangu akisha zaa
  2. T

    Mambo wakuu.naomba msaada nimekosea kujaza fomu za bodi ya mikopo

    Nimekosea kujaza namba ya kitambulisho wakat najaza online nimeweka no zangu za kitambulisho..hlf ktk fomu nimepeleka no zingine naomba msaada nifanyaje
  3. T

    Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

    Naomba ushauri nilimaliza form six mwaka 2014 nikafanikiwa kupata div three ya point 12,pcb General studies. C Physics E Biology B Chemistry B Basic math C... naombeni mnishauri nichague kozi gani itakayonifaa na chuo gani kitakachonifaa mm ni mtu wa hali ya chini sana...2015 nilichaguliwa open...
  4. T

    Historia ya Mitaa mbali mbali ya Jiji la Dar Es Salaam

    Lindi mrefu zaid,,umeanzia bungoni mpk Lumumba
  5. T

    Sports Extra Clouds FM Mnaanza kuharibu

    Bora kumsikiliza kilumanga megic fm
  6. T

    Msaada: Sheria inasemaje kuhusu kuchukua vyeti viwili vya kuzaliwa RITA kwa mtoto mmoja?

    Naomba mnisaidie sheria inasemaje? mm nimezaa na mwanamke mtoto mmoja wa kiume nikapewa tangazo Hospitali na nikaenda Rita nikachukua cheti cha mwanangu cha kuzaliwa mtoto ana miez 10. Bibi yake mzaa mama cna maelewano nae mazuri na huyo bibi anauwezo kidogo wa fedha na yeye ameenda Rita tawi...
  7. T

    CCM waingia Kiwewe na Matokeo Malisa Godlisen, Usahihi wa Matokeo yake haya hapa

    Malisa anafanya shughuri gani?? na dvn 1 aliopata
  8. T

    Majibu kwa Nape, Ridhiwan Kikwete na wengine kuhusu elimu yangu na niliposoma

    Duh kama hii ndo elimu yako mh mbunge wangu mnyika kumbe hata mm nimekuacha mbali sana
  9. T

    Walioandaa mgomo UDSM kuadhibiwa

    Dah nimeamin kwa nn tz haipo ktk vyuo 30 bora africa
  10. T

    Hatimaye Rich Mavoko ndani ya WCB

    Amefanya jambo sahihi mavoko nna iman atafika mbali mno
  11. T

    Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Njoo maeneo ya ilala chips unauza vizuri tu au buguruni
  12. T

    Je naweza kupewa mkopo nikiapply upya TCU na kuchagua chuo kingine?

    Dah!! mungu aninusuru nisiwe na akili zako
Back
Top Bottom