Walioandaa mgomo UDSM kuadhibiwa

Walioandaa mgomo UDSM kuadhibiwa

Wafukuzwe tu, tena ingependeza rais awachape hata fimbo na kuwafukuza. Mi nilishasema tangu mwanzo kuwa serikali ya Dr Magufuli ilishajitanabaisha toka mwanzo kuwa wanafunzi lazima watapata mikopo hakuna wa kukosa sasa wao kilichowafanya wagome ni nini????? Wapumbafu sana hawa vijana. Mbona wafanyakazi wa halmashauri safari hii mishahara ilichelewa kwa siku kazaa mbona hawakugoma?? Ina maana hao vijana wanadharau serikali, wanamdharau rais. Yaani wafukuzwe wale wote waliochochea mgomo liwe fundishooooo.
Wewe lazima hujapitia kusoma vyuo vya hapa nchini kama una degree
 
Acha kukurupuka mkuu hujaona watu wanashindwa kwenda chuo kwa kukosa ada? Hujaona watu wanaahirisha masomo kwa kushindwa kulipa ada? Hujaona watu wanashindwa kufanya UE kwa kushindwa kulipa ada kisa hawana boom? Inapasa uelewe kama wewe familia yako ilikuwa inakupa fedha licha ya kwamba una boom wenzako hawapewi hata shilling moja wanapoenda chuo na mategemeo yao yote yapo kwenye boom.

Unayekurupuka ni wewe ambaye huoni bar zikijaa huko kwenu, huoni ndugu zako wakichanga mamilioni ya shilingi kufanya sherehe ya harusi ya masaa yasiyozidi sita halafu watu hao hao wana mtoto anayeshindwa kufanya UE kwa sababu ya laki sita. Sababu hiyo imekuwa ikitumiwa toka enzi za akina Zakia Meghji na Yoweri Museveni miaka ya 1963. Kama kuna mwanafunzi wa chuo kikuu ameshindwa kufanya mtihani kwa kukosa ada then huyo siyo university material alifika hapo kwa bahati mbaya kwani hata matumizi ya ofisi ya mshauri wa wanafunzi hajui kazi yake!
 
Unayekurupuka ni wewe ambaye huoni bar zikijaa huko kwenu, huoni ndugu zako wakichanga mamilioni ya shilingi kufanya sherehe ya harusi ya masaa yasiyozidi sita halafu watu hao hao wana mtoto anayeshindwa kufanya UE kwa sababu ya laki sita. Sababu hiyo imekuwa ikitumiwa toka enzi za akina Zakia Meghji na Yoweri Museveni miaka ya 1963. Kama kuna mwanafunzi wa chuo kikuu ameshindwa kufanya mtihani kwa kukosa ada then huyo siyo university material alifika hapo kwa bahati mbaya kwani hata matumizi ya ofisi ya mshauri wa wanafunzi hajui kazi yake!
Wewe ni jipu na hufai katika jamii ya watanzania walio masikini. Mnaojaza bar ni nyie watoto wa wenye nazo mliofanya ujanja ujanja mkapata mkopo ambao kwenu ni kama hela ya ziada. Nyie ndio mnaofanya wale wenye sifa za kupata mkopo wanakosa na kushindwa kwenda chuo. Nyie ndio mnaoiletea serikali hasara maana mnamaliza chuo kichwani sifuri maana unajua nyumbani fedha ipo. "the wearer only know where the shoe pinches"
 
Wewe ni jipu na hufai katika jamii ya watanzania walio masikini. Mnaojaza bar ni nyie watoto wa wenye nazo mliofanya ujanja ujanja mkapata mkopo ambao kwenu ni kama hela ya ziada. Nyie ndio mnaofanya wale wenye sifa za kupata mkopo wanakosa na kushindwa kwenda chuo. Nyie ndio mnaoiletea serikali hasara maana mnamaliza chuo kichwani sifuri maana unajua nyumbani fedha ipo. "the wearer only know where the shoe pinches"
`
Wewe niite utakavyo kwani kwa kufanya hivyo unaonesha kweli kichwani uko vizuri. Serikali yetu imekosea sehemu moja tu nayo ni kudhani kuwa kila mtu anastahili kufika chuo kikuu. Elimu popote duniani iko pyramid in shape, wachache wenye uwezo wa hali ya juu ndio wanaofika chuo kikuu. nitaishauri serikali itoe scholarships kwa wale wanostahili kweli kuwa 'university materials' na wale wengine wajipime kama wana uwezo wa kujisomesha au wahangaike na 'means testing' ya bodi kupunguza hili tatizo la watoto wajinga wanajiona kuwa wao ni 'special' kwa vile wapo chuo kikuu huku wakiwa na principal moja. Mwenye akili hawezi kugoma boom likichelewa hata siku tatu!
 
`
Wewe niite utakavyo kwani kwa kufanya hivyo unaonesha kweli kichwani uko vizuri. Serikali yetu imekosea sehemu moja tu nayo ni kudhani kuwa kila mtu anastahili kufika chuo kikuu. Elimu popote duniani iko pyramid in shape, wachache wenye uwezo wa hali ya juu ndio wanaofika chuo kikuu. nitaishauri serikali itoe scholarships kwa wale wanostahili kweli kuwa 'university materials' na wale wengine wajipime kama wana uwezo wa kujisomesha au wahangaike na 'means testing' ya bodi kupunguza hili tatizo la watoto wajinga wanajiona kuwa wao ni 'special' kwa vile wapo chuo kikuu huku wakiwa na principal moja. Mwenye akili hawezi kugoma boom likichelewa hata siku tatu!
Nami nipo mjinga mmoja anajiita Mwasu yeye kuwa chuo kikuu anaona kama kapita yeye tu. Yaani ni limbukeni kwelikweli. Nakupongeza kwa kuumpa uhalisia wa maisha. Hii ni kazi ya kitume kuongoa nafsi zisizojitambua.
 
Yaani ndugu unashadidia wanafunzi wafukuzwe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo wakishafukuzwa itakusaidia nini....au hicho kitendo kitainufaishaje nchi yetu
Tuwaonee huruma hawa wanafunzi ; maisha ambayo wamepita mpaka wakafika hapo walipo ni magumu sana na yenye changamoto nyingi kwao na familia zao.
Leo wameshaanza kuona mwanga kwa mbali tuwaharibie tena jamani....wenye mamlaka mfikirie mara mbili kuchukua hayo maamuzi
 
Yaani ndugu unashadidia wanafunzi wafukuzwe !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwa hiyo wakishafukuzwa itakusaidia nini....au hicho kitendo kitainufaishaje nchi yetu
Tuwaonee huruma hawa wanafunzi ; maisha ambayo wamepita mpaka wakafika hapo walipo ni magumu sana na yenye changamoto nyingi kwao na familia zao.
Leo wameshaanza kuona mwanga kwa mbali tuwaharibie tena jamani....wenye mamlaka mfikirie mara mbili kuchukua hayo maamuzi

Yeyote anayevunja kanuni, sheria na taratibu lazima achukuliwe hatua stahiki, suala la kupitia maisha magumu wao na familia zao lilipaswa lifahamike kwao kwanza kabla ya mtu yeyote kulifahamu. Watu wasiojitambua wala kujifahamu wakipewa nafasi waitwe wasomi watakuja kutuumiza mbele ya safari. Kupitia maisha magumu sio hoja kwani hata majambazi wengi tu nao wamepitia maisha magumu. Sheria ifuate mkondo wake ili watanzania tujenge utamaduni wa kuziheshimu taratibu, sheria na kanuni zilizowekwa
 
Wanafunzi wa UDSM wanapaswa kupaaza sauti kupinga kitendo walichofanyiwa wenzao wa UDOM na pia Bunge kushindwa kuisimamia serikali katika hili. Kupewa kwao Boom ni kama Peremende tu za kuzima movement yoyote wakati Rais atakapotembelea

Ni wakati sasa UDSM kurudisha hadhi yake kwa kupinga kwa hoja kabisa mwenendo wa Serikali hii. Rais atataka kushangiliwa lakini muulizeni ni wapi aliona nchi ikiendeshwa hivi zaidi ya Korea ya Kaskazini. Kama anasema anataka kuleta mabadiliko muulizeni kwa nini asirejeshe katiba ya Warioba maana huko ndiko kulijenga upya Taifa?

Muulizeni kwa bajeti ya Bilioni 81 kwa mwaka ni viwanda gani vitajengwa na kutoa ajira kwenu? Ninyi pia mmeandaliwa incentives gani ili mkimaliza mjiajiri? Tena muulizeni maswali hayo kwa Kiingereza.Nawahakikishia hatakasirika kwa sababu mmemuuliza kwa Kiingereza

Mwisho,Msije mkajivua nguo kwa kumshangilia bila kumhoji labda mumshangilie kimkakati halafu mumkosoe. Maana akikubali kushangiliwa pia akubali kukosolewa
Kujana toka ukose ubunge umekuwa mpole. Pole
 
Wafukuzwe tu, tena ingependeza rais awachape hata fimbo na kuwafukuza. Mi nilishasema tangu mwanzo kuwa serikali ya Dr Magufuli ilishajitanabaisha toka mwanzo kuwa wanafunzi lazima watapata mikopo hakuna wa kukosa sasa wao kilichowafanya wagome ni nini????? Wapumbafu sana hawa vijana. Mbona wafanyakazi wa halmashauri safari hii mishahara ilichelewa kwa siku kazaa mbona hawakugoma?? Ina maana hao vijana wanadharau serikali, wanamdharau rais. Yaani wafukuzwe wale wote waliochochea mgomo liwe fundishooooo.
Ndugu yangu wewe ni amateur ktk mambo haya unaonekana kabisa.
 
Acheni kupenda kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa mbona msiwaoe mpk wamegoma kama mko makini hamtaki kunyooshewa vidole hamuwezi lakini wabishi mpk sasa hamuoni tu dont fool people for the name of uchama.Mangapi yanaenda ndivyo sivyo bado mnataka mpigiwe makofi.Watu kama nyie wenye uchama nnudhi sana wewe unaona haki watu wateseke kisa wewe umekaa mezani unakula ,kila kitu kwako kinaenda sawa acha ubinafsi kua na utu sema kweli na itakuweka huru pye nyie ndo mnaorudisha nyumma maendeleo.

Maendeleo yako unarudisha nyuma mwenyewe dogo wenzio tulikaza wenyewe na mpaka sasa tunaendelea kukaza sasa mkiambiwa kazeni mnataka mbembelzwe ndio shida. Hakuna anayetaka kusifiwa vijana lazima watatue matatizo yao wenyewe sie wakongwe tunawapa uzoefu tuliopitia achene siasa bhana wanasiasa watawazingua kwa ahadi za uongo tu. Kama kunji mnagoma na mnamkanyagia muhusika sio kuhusisha kila mtu na ugomvi wenu na kupenda kuonewa huruma ndio weakness kubwa mliyonayo.
 
Maendeleo yako unarudisha nyuma mwenyewe dogo wenzio tulikaza wenyewe na mpaka sasa tunaendelea kukaza sasa mkiambiwa kazeni mnataka mbembelzwe ndio shida. Hakuna anayetaka kusifiwa vijana lazima watatue matatizo yao wenyewe sie wakongwe tunawapa uzoefu tuliopitia achene siasa bhana wanasiasa watawazingua kwa ahadi za uongo tu. Kama kunji mnagoma na mnamkanyagia muhusika sio kuhusisha kila mtu na ugomvi wenu na kupenda kuonewa huruma ndio weakness kubwa mliyonayo.
kunji la miaka ya siku hz la ajabu saana yaan la kitoto kabisa hakuna kunji n makelele mm nilipewa taarifa kuna mgomo nkaenda kuangalia nilidhan ntakuta wanafunzi weng ila cha ajabu watu wapo rev squ wengne wanadesa na wana test pia.tukajua n utoto tu tukaondoka
 
Tena fukuza haraka ndio maana kasema hata udom walicheleweshewa ila hawajagoma hayo ni maelekezo fukuza waban wote kupata elimu tena nchini
 
sio
Maendeleo yako unarudisha nyuma mwenyewe dogo wenzio tulikaza wenyewe na mpaka sasa tunaendelea kukaza sasa mkiambiwa kazeni mnataka mbembelzwe ndio shida. Hakuna anayetaka kusifiwa vijana lazima watatue matatizo yao wenyewe sie wakongwe tunawapa uzoefu tuliopitia achene siasa bhana wanasiasa watawazingua kwa ahadi za uongo tu. Kama kunji mnagoma na mnamkanyagia muhusika sio kuhusisha kila mtu na ugomvi wenu na kupenda kuonewa huruma ndio weakness kubwa mliyonayo.
nyie mliyoyarudisha nyuma leo hii mnajidai kazi tuu wakati viwanda vyenyewe mliua ndo mnaanza moja lazima miundo mbinu rafiki iwekwe ili huyo kijana afaidi matunda ya kufanya kazi sio kumbania na kumnyonya kwa wimbo wa hapa kazi tu vijana wangapi hawana kazi,capital,resource na hawana msaada mnakula tu nyie mnaojiita wazoefu na wabinafsi kama mngekua na uchungu kweli sa hizi wafanya watu wakose sukari leo hii
 
sio

nyie mliyoyarudisha nyuma leo hii mnajidai kazi tuu wakati viwanda vyenyewe mliua ndo mnaanza moja lazima miundo mbinu rafiki iwekwe ili huyo kijana afaidi matunda ya kufanya kazi sio kumbania na kumnyonya kwa wimbo wa hapa kazi tu vijana wangapi hawana kazi,capital,resource na hawana msaada mnakula tu nyie mnaojiita wazoefu na wabinafsi kama mngekua na uchungu kweli sa hizi wafanya watu wakose sukari leo hii

Kijana atafaidi vipi matunda asiyofanyia kazi na mbona JPM keshaunguruma leo UDSM tafuta upate salaamu zenu hakuna mwenye uchungu nyie mnatafuta mtelemko tu!
 
Tatizo la wanafunzi wa UDSM wajiona wao ndio wanafunzi pekee wa chuo kikuu na hakuna wanafunzi vyuo vingine,hata ukisikikiza kauli zao wakati wa mgomo utagundua hilo,nilidhani kupitia mgomo huo watapaaza sauti zao kuhusu wanafunzi wa udom,lakin wamekua wabinafsi na hili linatokana na wao kutumiwa na wanasiasa kuanzisha mgomo huo na sio kudai maslahi ya wanafunzi wa vyuo vikuu vyote.
Wee ndio zobe enzi zetu tukigoma wote ila siku hizi vyuo vingi elimu duni
 
Back
Top Bottom