Kagondo
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 296
- 79
sioni haja ya huyo mtu kushtakia, labda kama wooooooooote wanashtakiwa hapo sawaPamoja mkuu..!
sioni haja ya huyo mtu kushtakia, labda kama wooooooooote wanashtakiwa hapo sawaPamoja mkuu..!
Kujibu kwake jeuri kunaonesha Hata sasa siyo msaada na hawezi kuwa msaada kwa binti,zaidi anazidi kuwadharau kama familia,afungwe tu heshima iwepoHapo pagumu! Ok mfano huyo kijana ukamshitaki akafungu miaka 30! Huyo binti na mtoto atakae zaliwa utawahudumia wewe? Au mahakama itamlea mtoto wakati baba yupo jela?
Ha ha ha.. Kama ni mwanafunzi bado unamfunga tu huyo pimbi..Wadau mimi naishi na mtoto wa dada yangu, kwasababu dada yangu hana uwezo nilichukua jukumu la kumsomesha huyu mtoto, kwasasa yupo form four, jana kafukuzwa shule baada ya kugundulika ni mjamzito wa miezi mitano. Kwasababu sifahamu vema sheria zinazosimamia hili swala naomba kufahamu yafuatayo:-
1. Je ni sahihi huyu mtoto kufukuzwa shule hasa ukichukulia nimelipa ada mpaka siku atakapomaliza masomo yake?
2. Kijana aliyempatia uja uzito anakili kufanya hivyo ila anajibu jeuri sana kwamba nisimfuatefuate. Je ni hatua gani za kisheria naweza kumchukulia huyu kijana hasa ukichukulia huyu bint yetu ana umri wa zaidi ya miaka kumi na nane yaani ana miaka18 na miezi7 hivyo alikutana naye kimwili akiwa ana umri zaidi ya miaka18.