Recent content by SuperNgekewa

  1. S

    Je, ndoa ya Jamshid na Al Qaida Itamfikisha Anakotaka kwenda?

    Je ndoa ya Jamshid na Al-Qaida Itamfikisha anakotaka kwenda? Mauaji ya Mombasa na pwani ya Kenya, yaliyotokea hivi karibuni, na yale yale ya Zanzibar siku chache kabla yanaonyesha wazi kuwa kuna mkono wa Jamshid nyuma yake. Mbinu zinazotumika ni chinja chinja ya Al-Qaeda yakuua watu wasio na...
  2. S

    Mugabe awalipua Walokole

    Rais Awalipua Walokole: Awataja Manabii wa Uwongo; Asema wanachangia umaskini wa Taifa, hawana huruma na raia. Ashangaa wingi wao kuzidi manabii wa kwenye Biblia.
  3. S

    Garama za Harusi

    Garama za Harusi By Simson Mrema https://www.facebook.com/groups/44794736841/permalink/10151207823606842/ •Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, jiandae kwa mambo haya: 1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo mtarajiwa...
  4. S

    Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

    Ni hivyo vijisenti vya Waarabu vinawapumbafusha wanafumbia macho ukweli kwamba kwa Mwarabu Mwafrika ni mtumwa daima bila kujali wewe mwisilamu au si mwisilamu. Kulikuwa na Thread hapa JF kuhusu yule Msaudi alivyomfanzia Mwafrika hadi kumuua licha ya kuwa Mwislamu mwenzake ... au labda kwa...
  5. S

    Tanzania Now Faces Sanctions & Diplomatic Crisis Over Iran

    Hii ni akili ya kitoto. Mtoto anafikiri nikiiba sukari sitajulikana. Kumbe akila anajipaka mdomo wote!
  6. S

    Human Rights' Press release on Dr Ulimboka

    With a name like "Maundumula" you can't help it!
  7. S

    Sababu Hasa ya Kuuchokonoa Muungano hii hapa...

    Kwa wale wenye kumbukumbu hafifu, hatma ya Mwafrika chini ya utawala wa Mwarabu... na Jambia lake.
  8. S

    Siku Tanganyika na Zanzibar Tulipopigana Vita

    Ahsante kwa JohnShao kwa kutukumbusha kuwa Tanganyika na Zanzibar zilikuweko kabla ya 1961 au 1964. In fact kuzaliwa kwa Tanganyika ilikuwa tarehe 27 May 1885 wakati Karl Peters alipoteuliwa Administrator wa kwanza kabisa wa Tanganyika (wakati huo German East Africa). Karl Peters aliharibu na...
  9. S

    Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?

    Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa? Picha by Mtanzania, 3/2/11 Hapo yaani wameshajikwatua kwa ajili ya kwenda "out" kumwona daktari! Watanzania wengine wanavyoona Wamasai kama mfano wa kuigwa na wanapendelea viongozi wa taifa watoke huko au kabila linalofanana-fanana kimaendeleo na hilo...
  10. S

    Wananchi wanapopiga vita wenye bidii kati yao ni janga kwa taifa

    Katika sehemu nyingi za hii nchi yetu mtu akipata mafanikio anaitwa mchawi au ananyonya damu au amemtoa mhanga mtu wake ili apate mafanikio... In fact katika sehemu nyingi mchawi na mtu mwenye mafanikio ni synonymous. Katika tabia na tamaduni zinazokwamisha maendeleo na kudumisha umaskini, tabia...
  11. S

    Hongera jk kwa kuzuia vibanda vyetu kubomolewa.

    Hongera ni kwa JK na pia Mzee Mizengo Pinda kwa kumzuia huyu mbomoaji na mzulumaji wa mali ya raia kinyume cha sheria, kinyume cha katiba na kinyume cha haki. Huyu jamaa tangu mwaka 1995 alipowazulumu wakazi wa Ubungo haki zao baada ya Anna Abdala kumkatalia Mkapa jukumu hilo kwa kuogopa dhambi...
  12. S

    Upweke unanisumbua wakuu

    Naona huo u-pimp ni tatizo kwani huenda unatafuta wa kuuza
  13. S

    Akina Gbagbo na Ben Ali, wananchi watakupateni tu, mkiwa hai au mfe.

    Wananchi walivyompata Oliver Cromwell - baada ya kufa. About the English Dictator Oliver Cromwell and his execution - after death. OLIVER CROMWELL (1599-1658), lord protector of England. One of the most controversial figures in British history, Cromwell led the revolution that...
  14. S

    Ijue taaluma ya Kuchakachua kura

    Thanks Madela wa Madilu kwa bidii yako ya kutafsiri faster angalao sehemu ya makala ya Taaluma ya Uchakachuaji wa kura kwa faida ya wasomaji wengi zaidi. Bidii za namna hii kwa wingi ndiyo zitakazoleta mabadiliko.
  15. S

    Matokeo ya Kura za Urais Haya Hapa

    Matokeo ya Kura za Urais Haya Hapa. Hadi leo Tume ya Uchaguzi haijaweka matokeo ya kura za Urais kwenye website yao. Inachokiogopa inakijua yenyewe.
Back
Top Bottom