Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?

SuperNgekewa

Member
May 10, 2010
49
3
Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?

Picha by Mtanzania, 3/2/11
Maika 50 ya Uhuru.jpg
Hapo yaani wameshajikwatua kwa ajili ya kwenda "out" kumwona daktari!


Watanzania wengine wanavyoona Wamasai kama mfano wa kuigwa na wanapendelea viongozi wa taifa watoke huko au kabila linalofanana-fanana kimaendeleo na hilo. Hebu fikiria, kama tungetawaliwa na Wamasai badala ya Waingereza leo tungekuwa tunavaaje, tunaishi makazi ya namna gani, tunakula na kunywa nini, tunakwenda haja wapi, tunasafiri vipi, n.k.?
 
Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?

Picha by Mtanzania, 3/2/11
View attachment 31485
Hapo yaani wameshajikwatua kwa ajili ya kwenda "out" kumwona daktari!


Watanzania wengine wanavyoona Wamasai kama mfano wa kuigwa na wanapendelea viongozi wa taifa watoke huko au kabila linalofanana-fanana kimaendeleo na hilo. Hebu fikiria, kama tungetawaliwa na Wamasai badala ya Waingereza leo tungekuwa tunavaaje, tunaishi makazi ya namna gani, tunakula na kunywa nini, tunakwenda haja wapi, tunasafiri vipi, n.k.?

Siungi mkono hoja maana imejaa udhalilishaji wa utamaduni wa watu. Leo hii wa-Scotish kwenye sherehe zao mbalimbali wanaume huvaa sketi - hapo unasemaje?
Hoja yako ingekuwa na msingi kama ungeizungumzia hiyo dispensari ya mbavu za mbwa. Ni jukumu la serikali kupeleka huduma za jamii (bora) popote walipo wananchi wake. Sasa hapo ni nini?
 
Je, Wamasai ndio mfano wa kuigwa?

Picha by Mtanzania, 3/2/11
View attachment 31485
Hapo yaani wameshajikwatua kwa ajili ya kwenda "out" kumwona daktari!


Watanzania wengine wanavyoona Wamasai kama mfano wa kuigwa na wanapendelea viongozi wa taifa watoke huko au kabila linalofanana-fanana kimaendeleo na hilo. Hebu fikiria, kama tungetawaliwa na Wamasai badala ya Waingereza leo tungekuwa tunavaaje, tunaishi makazi ya namna gani, tunakula na kunywa nini, tunakwenda haja wapi, tunasafiri vipi, n.k.?

Maisha yangekuwa rahisi sana!
 
Back
Top Bottom