Recent content by soweto85

  1. soweto85

    Kuna mwanaume anayemsaidia mwanamke bila sababu za kimapenzi?

    tatizo wanawake wenyewe hawajiamini
  2. soweto85

    Kuhusu huyu Baba Jamani.!

    mkuu kwa mtazamo wako uko sahihi, niliongelea huyo jamaa aliesema kwamba haonekani. na mimi nikamuhoji, je endapo kama angeonekana kama jinsi tulivyo mimi au wewe, halafu binadamu wamfuate kila mmoja na shida zake..!!
  3. soweto85

    Kuhusu huyu Baba Jamani.!

    mkuu piga picha kama angeonekana hapa duniani yeye mmoja tu. halafu watu wote duniani wana shida zao wanahitaji awatatulie. wapange foleni [emoji16][emoji16][emoji16] !!
  4. soweto85

    Nataka kuoa Muhindi!

    ni wanawake wenye mapenzi makubwa sana, ila hawapendi ulaghai asilani. kuua ni rahisi anapogundua usaliti. akikupa mapenzi lazima uchanganyikiwe. hakuna bwawa wala nini. nimeawagonga zaidi yasita. nimeishi nao mtaa mmoja sehemu ya Arusha. ukimgusa lazima uzamie.
  5. soweto85

    Mke mwenye gubu utamjua tu asubuhi mkiamka

    bora wewe baprika hauko hivyo [emoji16][emoji16] !!
  6. soweto85

    Nataka niwe mke wa pili

    bibie wasikuzingue, maamuzi ya mtu yatokayo moyoni kisha kinywani, ni ya ukweli dhahiri !! endapo tu wewe kweli ni mwanamke. na hitaji lako ni halisi. kila la kheri.....!!
  7. soweto85

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    mkuu mbona sielewi ? ni web ipi ? nilikua niendeleze ep. 9 vipepeo weusi, lakini kuifatilia naona ngumu hata nikienda kwenye linki mnayotoa mbona mbona naona mpangilio siuelewi ? unaweza kutuelekeza step by step ? samahani kwa usumbufu mkuu!!!
  8. soweto85

    Vipepeo Weusi: Mkakati Namba 0034 (Simulizi)

    episode 9
  9. soweto85

    Looking for a handsome man aged 32 - 40

    za muda ?
  10. soweto85

    Hili swali nataka kujua jibu...ni maumivu ya mapenzi??

    hata miss chagga nae huwa ana uchungu wa mapezi ? nawaza kwa sauti tu, ili asinisikie...!!!
  11. soweto85

    Kuanzia leo sitotumia tena neno "mkuu" kwani hilo ni jina aitwalo Lucifer na wale wanaomwabudu

    huwa sicheki hovyo hovyo, lakini leo, daaah !! mkuu blood of jesus, wewe ni mkuu, ID yako imekuweka kuwa mkuu, tunakuthamini mkuu, endelea tu kuwa mkuu, usiku mwema mkuu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
  12. soweto85

    SUMATRA, Mpinga, ina maana hamlioni hili?

    Habari wana JF, Inasikitisha kila kukicha ni habari za ajali tu, inaumiza sana. Je, ule mpango wa kukaa na madereva wa magari makubwa ya mizigo na ya abiria kuongea nao uliishia wapi? Mbona SUMATRA na kitengo cha askari wa usalama barabarani mnazunguka tu wakati issue ya kumaliza hili tatizo...
  13. soweto85

    Fao la kujitoa lafutwa rasmi

    nawasihi wabunge kama mnapitia humu, hii ni issue ya dharura. nafikiri hapiti mitaani kwa wananchi wanaofanya kazi za mikataba ya muda mfupi jinsi wanavyoishi..!! laiti mngejua wala bungeni msingekaa. watu wanahangaika kwenda kutafuta mikopo ya riba kubwa kwa mtaji mdogo usioeleweka, watu...
  14. soweto85

    Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

    i trust you !!!
Back
Top Bottom