Nataka kuoa Muhindi!

mwanza,tabora,bukoba,kahama,shinyanga wapo kibao kajizolee ila usije naye dar unajua team fisi hipo dar
 
Kweli nimeamini ubaguzi kila kona Duniani hupo , hata sisi Waafrika tena ndio tunaongoza .. maana ubaguzi wetu wa kuchefuka rohoni kabisa. Watu wanatoa kauli kali sana humu. Wananuka, watoa maji, jamani humu ndani pia kuna Wahindi ndugu zetu je wanajisikiaje?mleta uzi kaomba ushauri , kama mtu yupo na Zana basi amtupie mleta uzi hili akamilishe ndoto yake.Sio kutoa kauli chafu kwa Watanzania wenzetu wenye asili ya Asia .
 
Ingekua inawezekana kudownload app zaid ya mara moja bas jf ningeijaza yenyewe kweny screen ili kila ninapogusa naifungua yenyewe mana humu n burdan tuu
 
Hao jamaa na wenzao waraabu wana ubaguz wa hatari. Kuna mwarab mmoja alichukua dada wa kiswahili watu wake walimtenga mazima.
 
ni wanawake wenye mapenzi makubwa sana, ila hawapendi ulaghai asilani. kuua ni rahisi anapogundua usaliti. akikupa mapenzi lazima uchanganyikiwe. hakuna bwawa wala nini. nimeawagonga zaidi yasita. nimeishi nao mtaa mmoja sehemu ya Arusha. ukimgusa lazima uzamie.
 
kuna jamaa alitoka nae India alivyofikanae hapa bongo akashawishiwa na wahindi wenzake mbongo akapigwa chini
 
Back
Top Bottom