Anthony poliman
Member
- Feb 28, 2017
- 16
- 7
Mzazi huu uzi umetulia kinoma
Shukrani mzazi..Mzazi huu uzi umetulia kinoma
App yako inaitwajePamoja Mkuu..
Ni website sio appApp yako inaitwaje
Episode 23 nimetafuta hadi kichwa kimeuma
Mkuu angalia hapo juu ya uzi kuna mahali kuna option ya search... Bofya hapo kisha andika "Episode 23" then search
Duh! Umezisoma kweli? Ziko tofauti kabisa...Rhe other half episode 11 na 12 kama ziko sawa
Episode 9Hii Picha ya Begi lenye file nimeipenda
Shukrani sana mkuu..Dah we jamaa una akili sana........m nilikua nakuchukulia mtu flan hv ambaye umeenda age na uko kwene game kitambo sana......Kumbe ni chalii tu mwenye 20th zake.
Hakika Mungu yupo na anafanya watu wa taste mbali mbali......
You are gifted bro
Epsode 9
episode 9
Kuanzia Episode 1 - 25 zote ziko humu... Bofya vinukta vitatu vinavyoonekana juu pale kulia kisha chagua "Search" alafu andika Episode unayoitaka na kisha search...mkuu mbona sielewi ? ni web ipi ? nilikua niendeleze ep. 9 vipepeo weusi, lakini kuifatilia naona ngumu hata nikienda kwenye linki mnayotoa mbona mbona naona mpangilio siuelewi ? unaweza kutuelekeza step by step ? samahani kwa usumbufu mkuu!!!
Amen!Kwa ufupi napenda nitoe shukrani na pongezi pia niseme hongera sana.
nashindwa kuweka maneno mazuri yenye sifa unazostahiki kwa kipaji ulichojaaliwa kutoka kwa muumba wa mbingu na ardhi, miongoni mwa waliojaaliwa ww upo.
Nakuombea dua kwa M/mungu akupe maisha marefu yenye afya,amani,upendo na yenye mafanikio kwa ukarimu ulionyesha kwetu ambao hatupo kwny smartphone ni mkubwa sana.maungu akuongoze ktk mema.
Hivi una picha ya the bold nataka nimfahamuDah we jamaa una akili sana........m nilikua nakuchukulia mtu flan hv ambaye umeenda age na uko kwene game kitambo sana......Kumbe ni chalii tu mwenye 20th zake.
Hakika Mungu yupo na anafanya watu wa taste mbali mbali......
You are gifted bro