Recent content by Sodayangu

  1. S

    Mh.Raisi wa JMT ndugu JPM akutana na Tucta.Je,hii ina tafsiri gan kwa wafanya kaz?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Umeandika mwenyewe na umekuwa mchangiaji wa kwanza ila nami nipo kwenye 4 bora ya uchangiaji
  2. S

    Simama uhesabiwe (New episode)

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. S

    Tucheke kidogo...

    Ambae sija like post yake aniambie nirudi kulike
  4. S

    Faida za vibamia

    Faida kubwa kushinda zote wa vibamia ni ngumu kupata ngoma ukilinganisha na wenye mihogo kama wote unapiga peku.
  5. S

    Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

    iinstall GetApk(hii hapo play store) kisha nenda kaifungue hiyo application inayouzwa usi-install, shuka kwenye a lama ya kushare application, zitakuja option tofauti so shere kwenye GetApk. itatokea vition za hiyo app chagua iliopo juu zaidi na yenye rangi ya kijani kisha upand wajuu kulia...
  6. S

    kutoka mwl wa sanaa kuwa mwl wa sayansi.

    Kwakuwa ulisoma masomo yote (kama masomo ya sayansi ulifaulu kwa wastani wa C haswa biology na chemistry na pia kama ufaulu wako wa jumla una C kuanzia 4 au zaidi na hesabu na kingereza hukupata F) tumia cheti chako cha kidato cha 4 ukasome diploma ya kozi za afya eg Clinical officer, Nurse...
  7. S

    Show ya Alikiba na Ommy Dimpoz Las Vegas Marekani March 3 2017

    Hii Las Vegas ya wapi? mbona kwenye video dakika ya 2 na sekunde ya 37 Ali K anauliza "watu wangu wa Mombasa mpoo?". Au huo ukumbi wa Sky Beach Club Marekani wanaingia wa Mombasa peke yao?
  8. S

    Natafuta simu samsung s5, Budget ni tsh laki 2

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Au alikusudia Tecno P5 nawaza tu kwa sauti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  9. S

    Samsung ipi nzuri?

    Mimi ni mdau mkubwa wa kutumia Samsung nimetumia Galaxy Ace 1 na 2 pia S1,S2,S3,S4,S5 na S6 kwa Samsung galaxy note nimetumia note 1, 2, 3, 4, na note edge kasoro note 5, note 7 na S7 ila kati ya zote nilizowahi zitumia nimejikuta nimenasa kwenye Samsung galaxy note 4 na note edge. So...
Back
Top Bottom