Kama Mimi aisee hii mpya imenishinda kutumiaDah wadau naomba msaada wasap hii update naona ngumu kwangu kutumia
Naomba mnielekeze jinsi ya kirudisha ile ya zaman kwo yeyote anayeweza naomba msaada
Tuelekeze mkuu namna ya Ku updates statusMbona hii mpya nzuri sana hasa STATUS
Halafu huko tunapoelekea inaonesha whatsapp wanaongeza baadhi ya features kila mara wanapotoa toleo jipya (new version).... SASA CHA KUFANYA NI SIMPLE TU...USIUPDATE WHATSAPP KWENYE GOOGLE PLAYSTORE AU KWENYE APP STORE YAKO TENA NA IKIWEZEKANA FUTA AU ZUIA 'AUTOMATIC UPDATES' ZA APPLICATION KWENYE SETTINGS ZA Playstore and App store...... Kwa kufanya hivi utabaki na Version yako ya zamani ambayo haitokupa shida kuitumia kwa maana utakuwa ume restrict/zuia zile automatic updates.
Nadhani umepata mwanga kidogo hapo!!
nisipo update watanizuia kutumia au inakuajeItafika kipindi ni lazima u-update.
nisipo update watanizuia kutumia au inakuaje
Ok mkuu...ngoja nifanye mpango wa kuihuishaNdio
Halafu huko tunapoelekea inaonesha whatsapp wanaongeza baadhi ya features kila mara wanapotoa toleo jipya (new version).... SASA CHA KUFANYA NI SIMPLE TU...USIUPDATE WHATSAPP KWENYE GOOGLE PLAYSTORE AU KWENYE APP STORE YAKO TENA NA IKIWEZEKANA FUTA AU ZUIA 'AUTOMATIC UPDATES' ZA APPLICATION KWENYE SETTINGS ZA Playstore and App store...... Kwa kufanya hivi utabaki na Version yako ya zamani ambayo haitokupa shida kuitumia kwa maana utakuwa ume restrict/zuia zile automatic updates.
Nadhani umepata mwanga kidogo hapo!!
Kwa hiyo kama nataka nibaki na version ya zamani ndio unalazimisha nije na mpya...it is a matter of choice na sio kwamba eti sijui umuhimu wa ku update mpaka niende GoogleNenda google kapate umuhimu wa kufanya updates, maana kwa uandishi wako huu tengekutana ana kwa ana, ungebisha mpka asubuhi...
umeandika as if unafahamu vitu, kumbe you knw nothing
.... Hapana, ni katika namna flani hivi ya kuwa tofauti...Mbona mpaka wa leo natumia Whatsapp ya old version na kila kitu napata?? Images, sound, documents and video files..
Updates zinatoka karibu kila kipindi either baada ya miezi kadhaa au mwaka na haimaanishi kuwa eti nisipoupdate sasa hivi baada ya miez kadhaa sitapata updates kisa tu sikufanya updates hapo kipindi cha nyuma....Mbona simple mkuu, usipende kukubali kushindwa...
ukikubali kushindwa ina maana unaruhusu wenzako waende mbele tena kwa kasi ya ajabu, wewe urud nyuma....
Tuliza akili fuata maelekezo, ukishindwa uliza, usipende kuwa nyuma nyuma tu, technolojia itakutupilia mbali
Updates zinatoka karibu kila kipindi either baada ya miezi kadhaa au mwaka na haimaanishi kuwa eti nisipoupdate sasa hivi baada ya miez kadhaa sitapata updates kisa tu sikufanya updates hapo kipindi cha nyuma....
Ndio updates zina umuhimu wake lakini kwa baadhi ya wengine inakuwa ni mzigo na kero na ndio maana mdau ameomba msaada wa suala lake lipate ufumbuzi...Si kana kwamba hajui umuhimu au maana ya Application Updates
Ndio ndio nimekupata mdau..ila inakuaje sasa kwa wale wanaotumia GB whatsapp na hii update mpya wataipata au ndio mpaka wale Developers wa GB whatsapp wafanye yao??Kawaida usipo update WhatsApp kwa muda itafika muda inakugomea kabisa kufunguka Mkuu,kama hapa kwenye picha![]()
Well in Good....Nimeanza kutumia watsap tangu mwka 2010, one year baada ya kuwa lunched,
Hii nzuri japo itabaki kuwa theory tuHalafu huko tunapoelekea inaonesha whatsapp wanaongeza baadhi ya features kila mara wanapotoa toleo jipya (new version).... SASA CHA KUFANYA NI SIMPLE TU...USIUPDATE WHATSAPP KWENYE GOOGLE PLAYSTORE AU KWENYE APP STORE YAKO TENA NA IKIWEZEKANA FUTA AU ZUIA 'AUTOMATIC UPDATES' ZA APPLICATION KWENYE SETTINGS ZA Playstore and App store...... Kwa kufanya hivi utabaki na Version yako ya zamani ambayo haitokupa shida kuitumia kwa maana utakuwa ume restrict/zuia zile automatic updates.
Nadhani umepata mwanga kidogo hapo!!
Download GB whatsap ni nzuri sana ina sehemu ya statusMkuu hata mimi hii update mpya ya whatsapp siielewi kabisa hasa hapa kwenye STATUS ngoja waje wataalamu watueleweshe
Njia nyingine mbadala wa hii ni ipi ambayo ipo Practical zaidi ni ipi..tujuze tujue mkuuHii nzuri japo itabaki kuwa theory tu
