Natafuta simu samsung s5, Budget ni tsh laki 2

Natafuta simu samsung s5, Budget ni tsh laki 2

Ujinga huwa hauachwi ndo maana kuna shule...hiyo bei ni ya screpa ya s5 na sio simu ya s5, ukimaind kivyako mi ndo naenda zangu kula supu..

Si kweli,Hiyo hela haitoshi Screpa ya hiyo simu.

Screen yake tu ni 150,000/- ,huyu jamaa atakuwa muuza korosho wa chalinze kamliza abiria anataka na yeye awe kwenye watsup sasa anafkiri simu ni hela ya korosho
 
Kwa hela hiyo utapata Tekno nzuri kbs Ila kupata samsung kwa bei hy sahau.
 
Kwa hiyo hela labda UHONGWE!...kama ni hivo sawa! UTAPATA hata iPhone +++lakini Kwa kuuziwa nzima sahau! Kwanza hivi huogopi kununua cm mkononi? Ni PM nione namna ya kukusaidia mdau
 
Kwa mtaani kwangu s3 ni 120k, s4 180k ila 200k ni uhakika kwamba utaipata. S5 ni kuanzia 300k.

Ukiipata kwa 200k labda mtu ana shida na hela yaani akiikosa atakufa.
Au nenda kupatana pia ukafanye utafiti, unaweza ukaikamata.
 
Si kweli,Hiyo hela haitoshi Screpa ya hiyo simu.

Screen yake tu ni 150,000/- ,huyu jamaa atakuwa muuza korosho wa chalinze kamliza abiria anataka na yeye awe kwenye watsup sasa anafkiri simu ni hela ya korosho
Matusi hayo
 
Natafuta simu
Samsung galaxy s5 used
Isiwe na shida yoyote
Iwe na uwezo wa kutunza Betri
Isiwe na mipasuko kwenye kioo
Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo
Aliye nayo anaweza kuniPM
Kama unafika 400,000 nicheki tuongee 0652-902994
 
81c05c03c5384359c003a4479845d5b7.jpg
 
Natafuta simu
Samsung galaxy s5 used
Isiwe na shida yoyote
Iwe na uwezo wa kutunza Betri
Isiwe na mipasuko kwenye kioo
Budget ni Tsh laki mbili, sina zaidi ya hapo
Aliye nayo anaweza kuniPM
S5 bei ya kioo chake display ni 350k, hyo subiri upewe na ndugu
 
Back
Top Bottom