Wengi hufikiri kuoa mwanamke mwenye mtoto ni rahisi kivile sio kabisa.
1. Watoto baada ya 18 yrs bado kama baba utawajibika kuwaendeleza maana ni wa kufikia tena waweza kuwa babu wakufikia ukicheza.
2. Kuwalea hasa kunidhamu yaweza kuwa tabu kwani watoto wa namna hii huamini kila kitu wanaonewa...
Njia nyingine huwa naiona inasaidia ni kumchukua fundi wa mbali na hapo peleleza mafundi wasiofahamu kabisa mazingira hayo wala hawana connection yeyote na hapo ongeza usimamizi
Swali fikirishi..Kwani kuna zaidi kipi mtu kujua mjeif fulani amefariki?? Kuna rambirambi yeyote inayopata familia ya mwendazake?? au tu ni taarifa fulani ka rip. Kama baadhi yetu tumekutana JF bila kujuana basi na wakati ukifika tuondoke kimya kimya. Japo kwa wanaofahamiana ni vizuri kujua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.