Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 391
- 579
Habari wana JF
Nina changamoto moja katika via vyangu vya uzazi, uume wangu ni mdogo sana unakua ka wa mtoto hasa kukiwa na baridi au nkitoka kuoga ila ukisimama unakuwa vizuri tu nilishaga wahi kuupima siku 1 nikapata inchi 6.2 urefu.
Changamoto inakuja pale napokua na bibie halafu aombe tuende bafuni wote kuoga naona so sana kutokana na hali ya uume wangu kuwa mdogo sana ukiwa umelala hasa kukiwa na baridi au kuguswa na kitu cha baridi hasa maji.
Kwa anayefahamu kitaalamu hii imekaaje wakurungwa
Nina changamoto moja katika via vyangu vya uzazi, uume wangu ni mdogo sana unakua ka wa mtoto hasa kukiwa na baridi au nkitoka kuoga ila ukisimama unakuwa vizuri tu nilishaga wahi kuupima siku 1 nikapata inchi 6.2 urefu.
Changamoto inakuja pale napokua na bibie halafu aombe tuende bafuni wote kuoga naona so sana kutokana na hali ya uume wangu kuwa mdogo sana ukiwa umelala hasa kukiwa na baridi au kuguswa na kitu cha baridi hasa maji.
Kwa anayefahamu kitaalamu hii imekaaje wakurungwa