Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 5,945
- 23,201
Ahahah 🤣🤣 Acha zako wewe..mwanamke kupenda govi?Tena kuna Wanawake huwa wanapenda kweli kitu Cha hivyo.We Acha tu .
Ahahah 🤣🤣 Acha zako wewe..mwanamke kupenda govi?Tena kuna Wanawake huwa wanapenda kweli kitu Cha hivyo.We Acha tu .
Saivi ataenda likata🤣 sasa nchi nzima inajua Butongwa ana govi
Kuna namna hapo!Butongwa John vs Republic (Criminal Appeal No.450 of 2017) [2021] TZCA 415; (26 August 2021)
Binti wa umri wa miaka 17, anasema siku moja alitumwa dukani na baba yake ili akanunue madaftari ya shule, akiwa njiani kurudi nyumbani Binti akakutana na Bwana Butongwa ambaye alipora daftari zake, binti akaanza kudai daftari zake mpaka usiku ulipoingia, Butongwa akamchukua binti
na kwenda kuishi nae mbali kidogo kwa wiki tano (5).
Binti anasena akiwa anaishi na Butongwa walikuwa wakilala pamoja na kufanya mapenzi kama mume na mke.
Ndipo walipokuwa Mahakamani Butongwa alimuuliza swali binti kwamba "kama kweli unanijua vizuri, je mimi
nimetahiriwa au sijatahiriwa? Binti akajibu "umetahiriwa".
Basi bwana Butongwa akaonesha uume wake Mahakamani na kusema yeye "ana govi yaani hajatahiriwa"
Suala hilo limefanya Mahakamani ya Rufani kutilia shaka ushahidi wa binti na kuamua kumuachia huru bwana Butongwa aliyekuwa ameshitakiwa kwa kosa la kubaka, kuteka na kuoa mwanafunzi.
View attachment 1940625
Sasa unabisha???, Nakwambia duniani hakuna viumbe wa ajabu km Wanawake.Ahahah Acha zako wewe..mwanamke kupenda govi?
Butongwa John vs Republic (Criminal Appeal No.450 of 2017) [2021] TZCA 415; (26 August 2021)
Binti wa umri wa miaka 17, anasema siku moja alitumwa dukani na baba yake ili akanunue madaftari ya shule, akiwa njiani kurudi nyumbani Binti akakutana na Bwana Butongwa ambaye alipora daftari zake, binti akaanza kudai daftari zake mpaka usiku ulipoingia, Butongwa akamchukua binti
na kwenda kuishi nae mbali kidogo kwa wiki tano (5).
Binti anasena akiwa anaishi na Butongwa walikuwa wakilala pamoja na kufanya mapenzi kama mume na mke.
Ndipo walipokuwa Mahakamani Butongwa alimuuliza swali binti kwamba "kama kweli unanijua vizuri, je mimi
nimetahiriwa au sijatahiriwa? Binti akajibu "umetahiriwa".
Basi bwana Butongwa akaonesha uume wake Mahakamani na kusema yeye "ana govi yaani hajatahiriwa"
Suala hilo limefanya Mahakamani ya Rufani kutilia shaka ushahidi wa binti na kuamua kumuachia huru bwana Butongwa aliyekuwa ameshitakiwa kwa kosa la kubaka, kuteka na kuoa mwanafunzi.
View attachment 1940625
Shida ya mkono wa Sweta bn ukibinjua govi unakutana na unga utadhani kwenye kichwa ulimwagia unga wa dona..hivi wanapataje ujasiri wa Kula mzigo hawa watu na ile Hali?
Wanawake Wana huruma sn
haiwezekqni apige night kali kila siku tena ka binti kabichi hivo,binti kitendo cha kujibu hilo swali alimaanisha ashaiona mashine ya ButongwaYaani hio tu inatosha kumwachia huru?Au Butongwa alikuwa anapiga night kali? vipi kuhusu majirani?
Kwahio inawezakana Butogwa alizushiwa au binti hajielewi?haiwezekqni apige night kali kila siku tena ka binti kabichi hivo,binti kitendo cha kujibu hilo swali alimaanisha ashaiona mashine ya Butongwa
Itakuwa hivyo. Sasa mimi bungekuwa Buhongwa ningewabadilishia upepoKwahio inawezakana Butogwa alizushiwa au binti hajielewi?
Binti hakuwa makini na matukioButongwa John vs Republic (Criminal Appeal No.450 of 2017) [2021] TZCA 415; (26 August 2021)
Binti wa umri wa miaka 17, anasema siku moja alitumwa dukani na baba yake ili akanunue madaftari ya shule, akiwa njiani kurudi nyumbani Binti akakutana na Bwana Butongwa ambaye alipora daftari zake, binti akaanza kudai daftari zake mpaka usiku ulipoingia, Butongwa akamchukua binti
na kwenda kuishi nae mbali kidogo kwa wiki tano (5).
Binti anasena akiwa anaishi na Butongwa walikuwa wakilala pamoja na kufanya mapenzi kama mume na mke.
Ndipo walipokuwa Mahakamani Butongwa alimuuliza swali binti kwamba "kama kweli unanijua vizuri, je mimi
nimetahiriwa au sijatahiriwa? Binti akajibu "umetahiriwa".
Basi bwana Butongwa akaonesha uume wake Mahakamani na kusema yeye "ana govi yaani hajatahiriwa"
Suala hilo limefanya Mahakamani ya Rufani kutilia shaka ushahidi wa binti na kuamua kumuachia huru bwana Butongwa aliyekuwa ameshitakiwa kwa kosa la kubaka, kuteka na kuoa mwanafunzi.
View attachment 1940625
HahahaBinti atakuwa alinogewa na utamu kiasi Cha kushindwa kumchunguza Butongwa km ametahiriwa au lah!!, Wanawake huwa wanasema eti Mashine yenye govi ni tamu kuliko isiyo na govi.Sijui ni kweli.
Kwani govi linashida gani mkuu?Ahahah 🤣🤣 Acha zako wewe..mwanamke kupenda govi?
HIVI TEKNOLOJIA YA KUTAHIRI IMEANZA LINI?
Lakini Yesu alikuja kutafsiri maana ya kutahiriwa kuwa tofauti na inavyoeleweka.kabla ya Yesu kuzaliwa,kwa mjibu wa bible hilo lilkuwa agano kati ya Mungu na Ibrahim
Binti hajielewiKwahio inawezakana Butogwa alizushiwa au binti hajielewi?
Ndio hivyo.Kwa hiyo angesema hajatahiriwa jamaa angepigwa mvua 30