kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Hallo ndugu zangu
Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Hivi kuna madhara gani ya kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Sasa ni hivi kuna dada mmoja wa Kigoma ambaye tulipendana naye na tulivyo pendana akunificha aliniambia yeye ana mtoto
Nikamuliza situation ilikuwaje mpaka Akapata mtoto na kwanini baba mtoto hakumuoa?
Akaniambia kuwa uyo jamaa alimdanganya lakini alivyo mpa mimba yule jamaa alikimbia mimba ile na tena jamaa hakuwa mtanzania alikuwa mrundi na uko burundi ana mke na watoto Wa tatu
Sasa ki ukweli sikuamini maneno yake nilichunguza kwa majirani zake kuuliza walicho ni ambia ni ivo ivo tu
Sasa nikaona isiwe case nilienda kumtambulisha nyumbani kwetu cha ajabu wazazi wangu walivyo sikia kuwa ana mtoto kiukweli wamekataa kweli kweli nimejaribu kuwapa hali halisi ya ilivyo kuwa mpaka akapata mtoto uyo wamekula chini kweli
kibaya zaidi nimesha mpa mimba na kwao nina famika vizuri
Sasa familia wamenitenga kabisa yaani hawataki kusikia abari za uyo dada nimejaribu kuwaomba wao kama wazazi wangu basi wahende kujitambulisha kwao na mtoto na kuacha na weka Mali hawataki
Na mimi dada uyo na mpenda saana
Je ni kitumia wazee wengine ambao si Wa familia yangu kwenda kuniwekea Mali nitakuwa nime kosa?
Na ni madhara gani ambayo yanaweza kutokea pale familia wakikutenga?
Na nini ni fanye ili kumaliza tatizo hili ndugu zangu
Au ni sikie ushauri Wa wazazi na mimi ni achana naye?
Kuna jambo ambalo linanitatiza kidogo naomba ushauri kutoka kwenu
Hivi kuna madhara gani ya kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Sasa ni hivi kuna dada mmoja wa Kigoma ambaye tulipendana naye na tulivyo pendana akunificha aliniambia yeye ana mtoto
Nikamuliza situation ilikuwaje mpaka Akapata mtoto na kwanini baba mtoto hakumuoa?
Akaniambia kuwa uyo jamaa alimdanganya lakini alivyo mpa mimba yule jamaa alikimbia mimba ile na tena jamaa hakuwa mtanzania alikuwa mrundi na uko burundi ana mke na watoto Wa tatu
Sasa ki ukweli sikuamini maneno yake nilichunguza kwa majirani zake kuuliza walicho ni ambia ni ivo ivo tu
Sasa nikaona isiwe case nilienda kumtambulisha nyumbani kwetu cha ajabu wazazi wangu walivyo sikia kuwa ana mtoto kiukweli wamekataa kweli kweli nimejaribu kuwapa hali halisi ya ilivyo kuwa mpaka akapata mtoto uyo wamekula chini kweli
kibaya zaidi nimesha mpa mimba na kwao nina famika vizuri
Sasa familia wamenitenga kabisa yaani hawataki kusikia abari za uyo dada nimejaribu kuwaomba wao kama wazazi wangu basi wahende kujitambulisha kwao na mtoto na kuacha na weka Mali hawataki
Na mimi dada uyo na mpenda saana
Je ni kitumia wazee wengine ambao si Wa familia yangu kwenda kuniwekea Mali nitakuwa nime kosa?
Na ni madhara gani ambayo yanaweza kutokea pale familia wakikutenga?
Na nini ni fanye ili kumaliza tatizo hili ndugu zangu
Au ni sikie ushauri Wa wazazi na mimi ni achana naye?