Soldiergirl255
Member
- Oct 18, 2017
- 25
- 11
Habari ndugu,
Nimejaribu kupita kwenye website mbali mbali zinazouza used cars kutoka Japan nimekutana na gari aina ya Toyata Pixis Epoch na imenivutia hasa kutokana na ulaji Mdogo wa mafuta (32km/ litre) ila kwavile sina utaalamu kabisa wa magari nimeona niulize kwa anayefahamu kama hizi gari zinachangamoto zozote kwa matumizi ya kitanzania ya kawaida kwa mazingira ya mjini.
Na kama hakuna ni kwanini sioni zikimilikiwa na watu wengi kama ilivyo Passo, IST, Vitz na nyingine zenye mfanano huo.
Natanguliza shukrani.
Toyota Pixis Epoch
Nimejaribu kupita kwenye website mbali mbali zinazouza used cars kutoka Japan nimekutana na gari aina ya Toyata Pixis Epoch na imenivutia hasa kutokana na ulaji Mdogo wa mafuta (32km/ litre) ila kwavile sina utaalamu kabisa wa magari nimeona niulize kwa anayefahamu kama hizi gari zinachangamoto zozote kwa matumizi ya kitanzania ya kawaida kwa mazingira ya mjini.
Na kama hakuna ni kwanini sioni zikimilikiwa na watu wengi kama ilivyo Passo, IST, Vitz na nyingine zenye mfanano huo.
Natanguliza shukrani.
Toyota Pixis Epoch