Nakubaliana na wengi wenu kuhusu makwaia, inapokuja mijadala inayohusisha mambo ya dini,anakuwa tayari amechagua upande, na anapenda kuwaongoza washiriki kuelekea upande anaousupport, kuhusu mzee wa upako, nilivyo muona, mada kama zile zimempita kimo.Mwisho mimi namuona mzee makwaia akiendesha...
swali lako halieleweki vizuri, lakini kama untaka kufanya kama Kenn Starr alivyofanya katika kesi ya Bill Clinton haiwezekani. Pia naomba kutofautiana na mpandafarasi, kuhusu kesi anazo fungua mtikila dhidi ya serikali.
Utaratibu wa kuwashitaki watu binafsi ni tofauti na ule wa kuishitaki...
majibu uliyopewa ni mazuri ingawa hayajitoshelezi,nakubaliana nawewe uliposema kuwa who the IA reports to is one aspect of their independence.Lakini unashangaza ulipoambiwa na the learned brother kuwa " you might be charged for work" ukaongelea accountant na mambo ya sales, Kuna mambo mawili...
Dhamana ni swala la mahakama siyo la magereza. Hakuna sheria iliyokiukwa kwani dhamana ni haki ya kikatiba ya kila mtanzani (article 13(6) (b) of the Constitution of the URT.Sheria ipo soma Criminal Procedure Act 1985, R.E 2002 section 148
Jambo la kushangaza hapa ni kwa wenzetu kufikiri sisi hatutaki ushirikiano, sisi ni wavivu wa kufikiri na tuko slow. Vile vile kwamba sisi ni masikini.Ninachoomba wajue, sisi ni watu makini sana. Tunajaribu kuwa waangarifu, jirani zetu hawa wenye akili tunawafahamu, tunawapa nafasi wajiulize...
January ameleta vitu tofauti ingawa sijajua malengo yake na anafanya kwa faida ya nani.Jamiiforums nanyi mngebadirika, siku hizi mnaonekana kama watu wanaopoteza mwelekeo! mnapoteza mvuto!
wanaoitaka, miongoni mwa hoja wanazokuja nazo ni kwamba zilitambuliwa hata na wakoloni wa kiingereza. Ningependa tujiulize kuwa,Je? kuna jambo ambalo wakoloni walilianzisha au kuruhusu kwa nia njema ya kumsaiadia Mwafrika?au ni kwa maslhi yao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.