Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,911
Hili suala ni nyeti na linahitahi uchambuzi yakinifu. tatizo tunategemea habari what we read na sometimes huwezi kupata flavour. Anyway nimesoma kwa makini na kufikia haya yafuatayo.
Binti ana makosa kwani amefeli duty of care kwa kichanga ambaye alikuwa anamtgemea100%. mtoto wa umri wa miezi 8 is helpless, hivyo wajibu wa kwanza ilikuwa ni kuhakikisha kuwa yuko salama at all times wakati huyu binti akiwa incharge no matter what.
Pili kama alikuwa na grievances na mwajiri wake na hata majirani wameproovu hivyo wangemshauri aende hata polisi au ustawi wa jamii kulalamika rather than kulipiza kisasi kwa mtoto mchanga.
comments: Polisi pamoja na mambo mengine waliatakiwa ama wanapaswa kumpeleka katika psychiatric tests ili kudetermine kama ana matatizo ukichaa au la. waweza kumhukumu kumbe ni mgonjwa wa akili.
3. mcsichana wa miaka 16 kwa sheria za Tanzania si halali kuajiriwa kama yaya. ni underage, hana mafunzo ya uyaya, kwa makosa yake inabidi yapelekwe katika Juvinale cases. maana angekuwa na miaka 18 hapo angeweza kuimbishwa kindumbwendumbwe kisawasawa na polisi na mahakama.
Wakati wana imterview ilitakiwa kuwepo na mtu mwingine kama kutoka ustawi wa jamii na sio polisi peke yake. kwani ni rahisi kubadili kauli kama alivyofanya ikiwa atatishiwa.
THerefore kosa analo tatizi ni means zitakazotumika ku process kesi ndiyo nina mashaka.
mwajiri wake inabidi naye atinge kizimbani kwa kumwachia mtoto kuwangalia mtoto mwingine.
Binti ana makosa kwani amefeli duty of care kwa kichanga ambaye alikuwa anamtgemea100%. mtoto wa umri wa miezi 8 is helpless, hivyo wajibu wa kwanza ilikuwa ni kuhakikisha kuwa yuko salama at all times wakati huyu binti akiwa incharge no matter what.
Pili kama alikuwa na grievances na mwajiri wake na hata majirani wameproovu hivyo wangemshauri aende hata polisi au ustawi wa jamii kulalamika rather than kulipiza kisasi kwa mtoto mchanga.
comments: Polisi pamoja na mambo mengine waliatakiwa ama wanapaswa kumpeleka katika psychiatric tests ili kudetermine kama ana matatizo ukichaa au la. waweza kumhukumu kumbe ni mgonjwa wa akili.
3. mcsichana wa miaka 16 kwa sheria za Tanzania si halali kuajiriwa kama yaya. ni underage, hana mafunzo ya uyaya, kwa makosa yake inabidi yapelekwe katika Juvinale cases. maana angekuwa na miaka 18 hapo angeweza kuimbishwa kindumbwendumbwe kisawasawa na polisi na mahakama.
Wakati wana imterview ilitakiwa kuwepo na mtu mwingine kama kutoka ustawi wa jamii na sio polisi peke yake. kwani ni rahisi kubadili kauli kama alivyofanya ikiwa atatishiwa.
THerefore kosa analo tatizi ni means zitakazotumika ku process kesi ndiyo nina mashaka.
mwajiri wake inabidi naye atinge kizimbani kwa kumwachia mtoto kuwangalia mtoto mwingine.