wee hebu tupishe hapa! we're talkin bout stuffs done when we were teenagers...too ashamed au hukupitia hiyo stage?? kama wewe ulipokuwa form two ulikuwa na miaka 22 tayari, huo mzigo usitake kututwisha sisi. kama wewe shule yenu was a bunch of mommy's boy woosies then u can talk about that too, kama mlikuwa mnafungwa bib na kunyweshwa maziwa mkiwa form three basi wewe ongelea hilo, labda kuna wengine wapo wanaoshare experience kama hiyo. if you're too shy to recount ya stuffs on this thread, feel free to start a new one. Btw, if you don't mind, shule gani vile tena ulisoma secondary?!
Tambaza ilikuwa na best teachers na wanafunzi wake walikuwa top performers. Hili halina ubishi. Kuna mwalimu gani tena mwingine alikuwa top Dar na Bongo kwa geography ukiachilia mama Msuya? Nitajie....!! Practicle gani nyingine ya chemistry na biology Bongo ilikuwa top class ukiondoa iliyofanyika kwenye laboratories za Tambaza? (Physics sawa, hatukujaliwa sana, some of us had to go kwa mwalimu Mkichwe pale Jangwani). But as Tambaza stands, kila leo tulikuwa tunaona wanafunzi kutoka Shabaan Roberts, Aghakhan Mzizima, watoto kutoka boarding schools kila walipofunga walikuwa lazima wajiandikishe tuition pale. n.k.. wakimiminika kwenye corridors za ATC, what another encounter could better elaborate the academic performance of Tambaza??!