Kazi ndio kwanza inaanza.
Mafisadi wako wengi tu, ndio nilisema tusishupalie personalities. Tutakuwa tunawashughulia watu wachache mno.
Tushughulikie issues.
Kama ni makampuni yaliyo na mikataba na Tanesco tuyaangalie yote, moja baada ya jingine na machafu yaanikwe na masafi yapewe go ahead.
Mafisadi wako wengi tu, ndio nilisema tusishupalie personalities. Tutakuwa tunawashughulia watu wachache mno.
Tushughulikie issues.
Kama ni makampuni yaliyo na mikataba na Tanesco tuyaangalie yote, moja baada ya jingine na machafu yaanikwe na masafi yapewe go ahead.