- Thread starter
- #101
Asante sana Mama kwa maneno yenye busara na hekima nyingi!anayetoa dhihakahata kabla hajakupata hakufai, maana akikupata utajuta kuzaliwa. Mwanaume ni yule mwenye kauli laini, hata kama hamaanishi anayoyasema.
Mungu akubariki