Inaonyesha how much anampenda dad yake, mie ningemsamehe kabisaa....... ila ningemwonya asirudie tena.
Unaweza mpa kichapo akalia kwa uchungu ukafika barabarani likawa kushnei kabisa.
Umefanya vibaya sana kumficha mkeo kuwa una mtoto, na umeshamficha mangapi mpaka muda huu? Ni vigumu mkeo kukuamini kwa 100%, ni vema kuweka mambo yako wazi toka mwanzo, itakusaidia sana. Wahenga walisema "Mficha maradhi kilio humuumbua". Mwombe sana Mungu mkeo akuelewe, kwa akili zako hutaweza...
[Yaani hii video imeninyima raha kabisa!! Ni kosa gani hilo la hivho kipigo? Hivi huyo mwalimu yeye alipigwa hivyo akafika hapo? Uwiiii! God have mercy on us! Nimelia sana sana. Hawa walimu wanatakiwa wapewe kifungo cha maisha!
Hivi kina dada wenzangu? Mtu ana mke wake na mtoto, unatoka wapi kumwambia unampenda? Unataka nini kama sio laana kwa Mungu? Angekuwa mumeo ungekubali kufanyiwa hivyo? Hivi huwa mnajaribu kuvaa uhalisia wa mwanamke mwenzenu kabla ya kuchepuka na waume zao? Kina dada mbona hivyo?
Na wewe mkaka...
Kwa kweli hata mimi huwa napenda kulala uchi kabisaa, hata chupi ni mwiko. Jamani mwili nao unahitaji hewa. Kutwa kucha umeufunika na nguo na chupi hata usiku? Nahisi hata kiafya huruhusiwi kulala na nguo inayokubana. Ni kosa kubwa.
Hivi Membe yupo? Anajishughulisha na nini? Maana hasikiki tena!
Vipi na lile jibu sugu la ESCROW? Ilifikia mahali watu wakadharau hadharani kuwa 1 billion ilikuwa ni hela ya mboga!!!! Sasa sijui karudi tena kuchukua hela ya unga au laah!!!!!
Miss Chagga wahenga walisema 'mapenzi ni utumwa' na kupenda ni maradhi omba sana yasikukute! Maana hayo maradhi hayana tiba asilani.......
Mafikizolo sasa unanishauri niachane na mapenzi nifanye nini zaidi!! Siwezi kuukataa uasilia jamani!
Kama mwanamke anachepuka basi jua hatimiziwi kimwili......mwanamke akufuata pesa, gari wala nyumba kwako, alikuwa na kila kitu kabla hujamuoa......sasa kama unamtimzia kila kitu na kitandani performance ni zero hapo lazima house boy au shamba boy au huyo dereva uliyesema ajazie yale mapungufu...
Ziltan hiyo kali, kumbe Bachelor wengi ni mizigo kitandani!!!Daaah! Ndio maana wanaume walioko kwenye ndoa wamegeuka mabuzi,,,,wanawake wanalia vilio ambavyo ni laana kwa hao kina dada wanaoharibu ndoa za watu. Na pia nahisi pia vijana wengi hawapelekwi jandoni (kufundwa namna ya kuishi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.