mmmmhh!!Si na wewe unaamini Karma? Sasa unawezaje kusema hayo![]()
usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio
Ndio maanabasi mimi nipo kwenye nafasi nzuri sana aiseee,... nalala uchi yani kabisa sitaki kabisa hata chupi
hapa na kule jukwaa la burudani pamoja na kule kwa watu maarufuMhhhh![]()
![]()
![]()
![]()
mtaa gani? Hebu nitajie tafadhali
Hahahahahahahapa na kule jukwaa la burudani pamoja na kule kwa watu maarufu

usichukulie serious bhana, mimi na ibra ni zaidi ya hapaSi na wewe unaamini Karma? Sasa unawezaje kusema hayo![]()
usilopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzio
leo alikuwepo mitaa ya kule
Huu ni uongo sidhani kama kuna kinachoweza kuzuiliwa na Nguo ktk ulimwengu wa Roho.Kwa mwanamke kulala Uchi wa mnyama, ni Hatari kwa afya yake kwenye Ulimwengu wa Roho. Inasadikika kuwa asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wanao lala Uchi, licha ya kuingiliwa na Majini Mahaba, pia ndio Muda pekee Spiritual Husbands hupata nafasi ya kuwasawili Maumbile yao na wakigundua kuwa wanavutiwa kimaumbile, basi hawa spiritual Husbands huamua kufanya Makazi ya kudumu kwenye Mwili wako wewe dada unayependelea kulala Uchi wa mnyama kwa kisingizio cha Joto or something else.
Mara baada ya Huyu spiritual Husband kuhamia na kufanya Makazi kwenye Mwili wako, hutoka na kwenda kuwasimulia wenzake. Kinachofutia. Hukaribishana na kuanza kukuzalisha Spiritual Kids(Yaani ww unafanyikia kama kiwanda cha kuwazalia wao Watoto)
Ndio maaana Baadhi ya wanawake usiku huota wakiwanyonyesha watoto usiku, huku kiuhalisia akiwa Hana hata Mtoto.
Yako Mengi ya kuyaelezea hapa. Ila ngoja Mshaja JR naye aje atoe somo kuhusiana na hiki nlichokieongea hapa.
Ndiyo maana nini?Ndio maana
lakini nadhani muda umefika wa sisi kufahamiana ZaidiHahahahahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
vipi alidondosha mzigo au bado anazingua?leo alikuwepo mitaa ya kule
Kina wekwa chenyewe hakuna mbwembweTatizo ukilala na kigegeda wa 24/7
kumbe ndio maana watu wanapenda haka kautaratibuumesahau
9. inakupa mzuka wa kupiga selfie
Usipende kulala uchi..jitahidi uwe na bukta au pyjama cuz inaweza kutokea hatari yoyote usiku na ukaaibika mbele ya watu...