Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Mwanamke, kumchuna mumeo ni sawa na kujiibia mwenyewe!

Ndio madhara ya kuoa mburulaz....mi nafkiri kuna makabila mengine ni ma mburulaz by nature. Kwa asilimia flan huwez oa mchagga ukajuta. Tehe
Umeshikiwa bunduki kuoa kabila lingine? Panda zako ngorika nenda moshi ukaoe
 
  • Thanks
Reactions: nao
Mwananamke mchunaji haishii wakati wa uchumba tu, uchunaji ni tabia kama ngozi haifutiki.
Watu kama hawa nawatambua mapema sana.

Saa nyingine masikini mume unamchuna lkn hujui anavyohangaika kuipata hiyo pesa saa nyingine huko mihangaikoni anatukanwa na kufedheheshwa na anavumilia ili mwisho wa siku familia ipate kusimama vema. Lakini wewe ukiona waleti imejaa unataka kutapanya tu bila utaratibu
 
Wanawake wengi wamekua mapunguani sana tofaut na wazamani Yan unawaza kumchuna mumeo badae utakuja jamvin eti mume wangu awezi kufanya maendeleo mbaka Leo tumepanga chumba kimoja kumbe kikwazo ni wwe binafsi
 
Wanaume wa sasa sio kama zama za hapo nyuma. Unakuta mwanamke anajibana, anajitahidi muwe na maendeleo, yeye busy na mchepuko...unajidai kupanga matumizi na kufanya maendeleo yeye busy na michepuko, mbaya zaidi mchepuko haubaniwi......Mleta mada fanya uchunguzi makini ndo useme kuwa wanawake wanachuna waume zao. Asilimia 90% ya wanawake walioko kwenye ndoa wanalia sana kwa kufanywa wao spare.
Mbona unaongea as if wenye tabia ya mchepuko ni wanaume tu? Mbona jamii inashuhudia wake za watu pamoja na kutimiziwa kila kitu lakini wana michepuko! Mbaya zaidi mchepuko unaweza kuwa house boy, shamba boy, au dreva wa familia! Hujayasikia hayo?
 
Mbona unaongea as if wenye tabia ya mchepuko ni wanaume tu? Mbona jamii inashuhudia wake za watu pamoja na kutimiziwa kila kitu lakini wana michepuko! Mbaya zaidi mchepuko unaweza kuwa house boy, shamba boy, au dreva wa familia! Hujayasikia hayo?
Kama mwanamke anachepuka basi jua hatimiziwi kimwili......mwanamke akufuata pesa, gari wala nyumba kwako, alikuwa na kila kitu kabla hujamuoa......sasa kama unamtimzia kila kitu na kitandani performance ni zero hapo lazima house boy au shamba boy au huyo dereva uliyesema ajazie yale mapungufu ambayo humpatiii.
Wanaume mnakosea sana mnaposema kuwa 'huyu mwanamke nampa kila kitu, gari zuri, nyumba nzuri, pesa za kutosha' ila kumbuka kilichomtoa kwao kuja kwako sio hivyo vitu bali ni wewe....kama ni zero basi kaa mkao wa kusaidiwa na hao mahouse boy.
 
Nyie wanaume msijitie kujifanya mnataka huruma, kwanza huu mchuno wa hapa sio wa kibuzi buzi ni mchuno wa kuendesha familia hela zenu mngekua na uchungu nazo hadi huko kwingine mngekua mbali mnoooo lieni mkimaliza mkachunwe
 
Mpendwa kuna threads nilishaandika jamaa kazaa na mtu afu huyo mtu ana watoto wengine wawili so jamaa anatunza mtoto wake na hao watoto wengine tena wa mwanamke wake, muda huko huo ana mke wanaishi wote
Hivi hapo mkewe ajibanee dada wa watu ale vidagaa af pesa inaenda kulea watoto wa watu khaaa hii ni ujinga first class
Huyo mwanaume hajielewi..Na hao wanawake nao hawajielewi vilevile..Sema sijabahatika kuusoma huo uzi..so nashindwa kuwalaumu vizuri..

Sawa mpendwa huyo mke ndo kashauvagaa mkenge..Sasa kuanza kumchuna mwanaume ndo itasaidia?..Sio lazima ajibane ale dagaa..Ana haki ya kuomba pesa..Swala ni kwamba hiyo pesa anaitumiaje...

Ikumbukwe kuwa wanaume wengi wanaopenda kuhudumia nje basi pesa yake ndani ya nyumba inakuwa inatoka kimahesabu sana(wengi ndo wako hivyo,muwasamehe bure tu)...demand za vitu vya anasa kwake inakuwa kero kubwa inayoweza kufanya mkawa mnagombana deile...Ukiwa na mwanume wa hivyo inabidi uzichange karata zako vizuri...usitake kushindana na michepuko

Ukimwambia unashida ya pesa na akakupa zen kesho anakuta umenunua Iphone 6..Tegemea next time kuzungushwa sana ukiomba pesa...Ila umeomba pesa zen kesho anarudi anakuta umebadilisha sofa sets sitting room kesho kutwa unapewa tu kiroho safi...

So kama mwanamke umepata bahati mbaya ya kuwa na mwanaume asiyejielewa inabidi na we hujiongeze kidogo..Usifikirie tu kuwa nje anatoa ngapi..Fikiria pia kile kidogo anachokileta home nakitumiaje...Kama unafanya vitu vya maana una nafasi kubwa hata ya kumbadilisha mumeo tabia...
 
Huyo mwanaume hajielewi..Na hao wanawake nao hawajielewi vilevile..Sema sijabahatika kuusoma huo uzi..so nashindwa kuwalaumu vizuri..

Sawa mpendwa huyo mke ndo kashauvagaa mkenge..Sasa kuanza kumchuna mwanaume ndo itasaidia?..Sio lazima ajibane ale dagaa..Ana haki ya kuomba pesa..Swala ni kwamba hiyo pesa anaitumiaje...

Ikumbukwe kuwa wanaume wengi wanaopenda kuhudumia nje basi pesa yake ndani ya nyumba inakuwa inatoka kimahesabu sana(wengi ndo wako hivyo,muwasamehe bure tu)...demand za vitu vya anasa kwake inakuwa kero kubwa inayoweza kufanya mkawa mnagombana deile...Ukiwa na mwanume wa hivyo inabidi uzichange karata zako vizuri...usitake kushindana na michepuko

Ukimwambia unashida ya pesa na akakupa zen kesho anakuta umenunua Iphone 6..Tegemea next time kuzungushwa sana ukiomba pesa...Ila umeomba pesa zen kesho anarudi anakuta umebadilisha sofa sets sitting room kesho kutwa unapewa tu kiroho safi...

So kama mwanamke umepata bahati mbaya ya kuwa na mwanaume asiyejielewa inabidi na we hujiongeze kidogo..Usifikirie tu kuwa nje anatoa ngapi..Fikiria pia kile kidogo anachokileta home nakitumiaje...Kama unafanya vitu vya maana una nafasi kubwa hata ya kumbadilisha mumeo tabia...
Kwahiyo mpendwa mkeo kununua iPhone ni anasa ile mchepukoni unanunua tu kiroho safi kuna wanaume wa kuwaonea huruma wanahustle na wanatimiza wajibu wao kwenye familia ila kuna wengine wachunwe tu maana hamna namna
Kuna wengine hata hela ya mboga nyumbani hawaachi yani asubuhi anakung'uta pmb zake huyooo anasepa afu aonewe huruma no plz
Afu mke hachuni kukomoa wanaokomoa ni michepuko mke anachuna ili mambo ndani yawe swadaka
 
Dawa ni kuwachuna na wao tu, hakuna namna.
 
Kwahiyo mpendwa mkeo kununua iPhone ni anasa ile mchepukoni unanunua tu kiroho safi
Labda umenisoma vibaya..Sisapoti hiyo kitu..Ila ukweli upo hivyo kwa walio wengi..Kwani mpendwa hujawahi kusikia/kuona mtu anaombwa kitu na mkewe anamtolea nje ila kwa mchepuko anatoa tu bila shurti..Unahisi ni kwann?

kuna wanaume wa kuwaonea huruma wanahustle na wanatimiza wajibu wao kwenye familia
Hata hawa mbona mnawachuna..Nasihi mtoa mada ndo alikuwa anawaongelea hawa

ila kuna wengine wachunwe tu maana hamna namna
Kuna wengine hata hela ya mboga nyumbani hawaachi yani asubuhi anakung'uta pmb zake huyooo anasepa afu aonewe huruma no plz
hawa ndo wagumu zaidi kuwachuna

Afu mke hachuni kukomoa wanaokomoa ni michepuko mke anachuna ili mambo ndani yawe swadaka
Teh teh..Huko sasa sio kuchuna mpendwa..Mke wa sampuli hiyo mbona safi sana...
 
Back
Top Bottom