Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Eeh sasa hivi tutasikia "alinirubuni"atakuja kuleta uzi mwingine humu anataka ushauri, kwamba mke wa mwanzo nae kaanza mizengwee.
Hawa vijana wa do.com wasumbufu kweliiii
Eeh sasa hivi tutasikia "alinirubuni"atakuja kuleta uzi mwingine humu anataka ushauri, kwamba mke wa mwanzo nae kaanza mizengwee.
Hawa vijana wa do.com wasumbufu kweliiii
Jaribu mchepuko huo utape cha kuhadithia ukizeekaHabari msomaji wa uzi huu.
Hii stori si yangu nimeona vyema nishare nanyi kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa lenye watu wanaoweza kushauri.
Stori...
Habari ndg.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeoa nina mtoto mmoja wa miaka mitatu.
Hivi karibuni kuna mdada mmoja amekuwa akinipenda sana, hali hii imesababisha nami nimpende kwa dhati. Maana kila siku jioni lazima afike ofsini kwangu kunipokea.
Hatujawahi kufanya mapenzi. Kinachonishangaza ni kwamba anajua kuwa nina mke, na kila nikimweleza hivyo anasema kuwa ananipenda sana.
Ndugu naomba ushauri wako.
Wanajukwaa hii ndivyo ilivyo, tumshauri huyu mpendwa.
Huo ujinga ashauriwe nn hapo sio kila kitu kinahitaji ushauriHabari msomaji wa uzi huu.
Hii stori si yangu nimeona vyema nishare nanyi kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa lenye watu wanaoweza kushauri.
Stori...
Habari ndg.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeoa nina mtoto mmoja wa miaka mitatu.
Hivi karibuni kuna mdada mmoja amekuwa akinipenda sana, hali hii imesababisha nami nimpende kwa dhati. Maana kila siku jioni lazima afike ofsini kwangu kunipokea.
Hatujawahi kufanya mapenzi. Kinachonishangaza ni kwamba anajua kuwa nina mke, na kila nikimweleza hivyo anasema kuwa ananipenda sana.
Ndugu naomba ushauri wako.
Wanajukwaa hii ndivyo ilivyo, tumshauri huyu mpendwa.
Hivi kina dada wenzangu? Mtu ana mke wake na mtoto, unatoka wapi kumwambia unampenda? Unataka nini kama sio laana kwa Mungu? Angekuwa mumeo ungekubali kufanyiwa hivyo? Hivi huwa mnajaribu kuvaa uhalisia wa mwanamke mwenzenu kabla ya kuchepuka na waume zao? Kina dada mbona hivyo?
Na wewe mkaka unaomba ushauri gani huo? Mpaka unamuoa mkeo na kupata mtoto si ulimpenda mkeo, huyo wa nje hana mapenzi kuna kitu ameona kwako ndo anachokitaka na sio upendo bali kuchunwa! Pole sana Mti wa Chuma
Huo ushauri mtu ameniomba, mimi nimeshare nanyi jukwaani.
Hahahaa eti Lwenyi kasema.... U funyAisee....!
Sasa wewe ulioa nini? Kwani ulilazimishwa? Kwani nini kinakushinda kumwambia mwanamke embu achana na mimi nina familia yangu ukasema kiume kabisa? Au tu mnapenda kusumbua watu humu na hizi chai?
Kamwambie LWENYI kasema achana na mimi nina mke na mtoto wananihitaji sana
Aisee Madam Koku....!Hahahaa eti Lwenyi kasema.... U funy
hahahaaa kwakweli anahitaji orders tu hamna namna nyingine ya kumsaidia... angalau itaonekana sio yeye kasema 🙂Aisee Madam Koku....!
Sasa mtu kama huyu kama siyo kupewa oder anataka nini? ngoja tu tumsaidie akiulizwa unaniacha kwanini apate wa kumsingizia..
ushauriwe kitu gani mkuu..>>????Habari msomaji wa uzi huu.
Hii stori si yangu nimeona vyema nishare nanyi kwa kuwa JF ni jukwaa kubwa lenye watu wanaoweza kushauri.
Stori...
Habari ndg.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26 nimeoa nina mtoto mmoja wa miaka mitatu.
Hivi karibuni kuna mdada mmoja amekuwa akinipenda sana, hali hii imesababisha nami nimpende kwa dhati. Maana kila siku jioni lazima afike ofsini kwangu kunipokea.
Hatujawahi kufanya mapenzi. Kinachonishangaza ni kwamba anajua kuwa nina mke, na kila nikimweleza hivyo anasema kuwa ananipenda sana.
Ndugu naomba ushauri wako.
Wanajukwaa hii ndivyo ilivyo, tumshauri huyu mpendwa.
Kweli kabisa maana inaonekana uoga umemjaa na kutojiamini na wala hajui nini anataka kwenye maisha yake..!hahahaaa kwakweli anahitaji orders tu hamna namna nyingine ya kumsaidia... angalau itaonekana sio yeye kasema 🙂