Kinapatikana mkuu acha ubishi. Ingia website ya NIDA www.nida.go.tz tafta sehemu imeandikwa online copy nadhani hapo itakuomba uingizie hiyo NIN yako na kisha kuna maswali utajibu ukiyajibu inavyotakiwa unapewa link ya kudownload kitambulisho chako. Ila lazima uwe na namba ya utambulisho(NIN).
Hilo la postpaid nenda karipoti kwenye taasisi yako inayokulipia ambayo iliingia mkataba na vodacom wa huduma hiyo, wawaandikie vodacom kuhusu hiyo concern na kuwataka wawatoe kwenye hiyo option ya smart bundle ili uwe unapata menu ya kawaida. Else mtumie mtu salio akuunge na kifurushi cha...
Changamoto za kilimo fukayosi wamang'ati wana pitisha mifugo sana. Unless una ekari za kutosha. Kwa ekari mbili wanaweza kuwa wanaachia mfiugo tu. Ila ukiweza weka mlinzi safi.
Labda kwanza nianze kwa kusahihisha jina lake,haitwi Sabato Nyamsano anaitwa Sabato Nyamsenda.Ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu B.A Political Science and Language(French) hapo UDSM.
Ni Mzanaki toka Butiama(kama mwl Nyerere).Ni kijana makini sana tangu darasani hadi nje ya darasa.Amekuwa mstari wa...
haya mambo si lazima yaende haraka kama kila mtu anavyofikiri ni mambo sensitive na ndo maana hata serikali itapochukua hatua yoyote haipaswi kupelekwa na hisia tu jamani tuipe mda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.