Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Habarini ndugu wana JF napenda kujua je kwa wale wanaofaham kijiji Lusako kule fukayosi je ardhi yake inafaa kwa kilimo cha mihogo / mahindi? Maana nina heka zangu mbili kule nimenunua last month February
 
Hongera sana mkuu.. mimi yawezekana nisijibu swali lako ambalo unataka ujibiwe ila napenda kujua upatikanaji wa maeneo huko kama eka kumi itanigharimu shilingi ngapi? maji ni ya kuchimba au mito ipo karibu? na vipi majirani nikianzisha hog fam (kitimoto). msaada please
 
Hongera sana mkuu.. mimi yawezekana nisijibu swali lako ambalo unataka ujibiwe ila napenda kujua upatikanaji wa maeneo huko kama eka kumi itanigharimu shilingi ngapi? maji ni ya kuchimba au mito ipo karibu? na vipi majirani nikianzisha hog fam (kitimoto). msaada please

Mkuu ukijibiwa plz nikoti na mimi
 
Hongera sana mkuu.. mimi yawezekana nisijibu swali lako ambalo unataka ujibiwe ila napenda kujua upatikanaji wa maeneo huko kama eka kumi itanigharimu shilingi ngapi? maji ni ya kuchimba au mito ipo karibu? na vipi majirani nikianzisha hog fam (kitimoto). msaada please
Asantee. Mkuu huko hamna shida ila umakini ndio wahitajika pia maji ni shida.hivyo utatakiwa kuchimba kisima

Pia kuhusu heka kumi unaweza pata lakini umakini tuh Ndio unahitajika vlevle heka inaanzia tsh laki tano na kuendelea kulingana na eneo husika na maelewano kati yako na muhuzaji pia ufugaji.huo hauna shida maana kule. Ni jamii mchanganyiko. Pia unakua mbali kabisa na makazi ya watu kama utahitaji nitafute inbox tuongee.
 
Changamoto za kilimo fukayosi wamang'ati wana pitisha mifugo sana. Unless una ekari za kutosha. Kwa ekari mbili wanaweza kuwa wanaachia mfiugo tu. Ila ukiweza weka mlinzi safi.
 
Habarini ndugu wana JF napenda kujua je kwa wale wanaofaham kijiji Lusako kule fukayosi je ardhi yake inafaa kwa kilimo cha mihogo / mahindi? Maana nina heka zangu mbili kule nimenunua last month February
Maswali mengine uliza wataalam wa kilimo huko kijijini, kwani ndo kazi yao huko sasa humu!
 
Hongera sana mkuu.. mimi yawezekana nisijibu swali lako ambalo unataka ujibiwe ila napenda kujua upatikanaji wa maeneo huko kama eka kumi itanigharimu shilingi ngapi? maji ni ya kuchimba au mito ipo karibu? na vipi majirani nikianzisha hog fam (kitimoto). msaada please
Mkuu kuna ekari mbili na nusu opposite na KIROMO SEKONDARI, bagamoyo.
 
Wadau nataka kukodi shamba na kulima heka Kama 2 hivi Za mihogo Kwa jili ya kuuza ila sina uzoefu katika biashara iyo Kama ww mzoefu naomba maoni na ushauli wako.
 
Habari wadau,

Mimi ni mdau wa zao la muhogo, sijasomea kilimo ila kazi yangu imenifanya nilijue hili zao kwa asilimia kubwa tu, kuanzia upandaji hadi ulaji. Nimepata wazo la kuendeleza utumiaji wa zao hili kwa hapa Dar baada ya kuona muhogo ni zao zuri na lenye bidhaa zaidi ya 100 lakini kwa hapa Tz hatuzitumii, ila kwa wenzetu wanaigeria wao wamepiga hatua kidogo.

Ninachotaka ni kufungua mgahawa/hotel au hata cafe ila kitakachokuwa kinauzwa hapo ni bidhaa za muhogo tu kama vile; maandazi ya muhogo, chipsi za muhogo, keki za muhogo, clips za muhogo, PILAU ya muhogo, Kalmati za muhogo, Biscuit za muhogo, Chapati za muhogo, UJI wa muhogo, UGALI wa muhogo, Garii-Kinatumika sana Nigeria, na Bidhaa nyingine nyingi na nzuri sana zaidi ya 100.

Kwa sasa ninatafuta mdau/wadau atakayekuwa tayari kushirikiana katika kuanzisha biashara hii. Mimi nina utaalamu na wataalamu wengine pia ila mtaji wa kutimiza ndoto hii ndio tatizo, ila kwa uzoefu wangu hii biashara inalipa sana. Atakayekuwa tayari ani inbox au atakayeenda kuimplement ruksa hakuna noma ili mradi watu wale bidhaa za muhogo nitafurahi pia.

Karibuni
 
Nataka kuingia kwenye kilimo cha mihogo ila sina uzowefu kwa mwenye uzoefu naomba ushauri. Nataka kulima mihogo na kuuza ila ndo lengo langu.
 
Cassava research takes place in various research institutes that are based on the research zones. These include Agricultural Research Institute (ARI) Naliendele based in Mtwara (Southern zone), ARI Kibaha based in Kibaha (Eastern zone), ARI Ukiriguru based in Mwanza (Lake zone), ARI Maruku based in Kagera (Lake zone). Others are ARI Uyole based in Mbeya (Southern highlands zone), ARI Hombolo based in Dodoma (Central zone), ARI Tumbi based in Tabora (Western zone), ARI Tengeru based in Arusha (Northern zone) and ARI Kizimbani based in Unguja.

Sehemu zote hizi mkuu ndo nimeambiwa na wataalamu wa wizara mbegu zinapatikana na pia baada ya hawa jamaa kufanya utafiti wanatoa kwa Magereza kwa ajili ya kuzalisha ili wakulima wanunue kwa wingi sasa. So ukifika kwao japo sina address zao kamili utapata mbegu au maelekezo mazuri.

Mbegu ambazo zimethibitika kuwa na viwango kwa saa zinaitwa Kibaha, Mzungu na Kiroba ambazo ukilima kwa hali ya nchi yetu unweza kupata kati ya tani 10 hadi 20 kwa Hekta.

Nafikiri hii itatoa mwanga kidogo

Mkuu hawa ARI Hombolo wanapatikana Hombolo kwenyewe au sehemu gani?

Maana mimi nipo maeneo ya Dodoma
 
Kwa kiasi kikubwa, Naliendele kule Mtwara ndiyo hasa watafiti wakuu wa Mihogo na Korosho nchini Tanzania. Kama mdau alivyosema,Dr Mkamilo(PhD) ndiyo boss wa kitengo cha mihogo( mazao ya miziz kama mihoho, viaz vikuu, ming'oko et al)

Lakini wana branch ndogondogo kama Tunduru, Newala, Nachingwea na Mkuranga. Hata hivyo wanashare na ARI zingine hasa Kibaha kwa kuwa mkoa wa Pwan na mikoa ya Lindi na Mtwara iko sawa kabisa na hivyo Mihogo inastawi sawasawa.

Kwa kumalizia, ukitaka kupata ABC za uhakika, nenda Mtwara kule Naliendele, ni kilometa 12 tu kutoka mjini Mtwara au nenda Kibaha/ Mkuranga!
 
Mkuu naanza ujenzi wa kiwanda cha kusindika Rufiji kuanzia Sept na by Jan 2012 nitaanza kununua tani 20 kila siku mihogo aina zote so kama utakuwa na uwezo wa kufikisha tutanunua yote. Michungu na mitamu yote tutachukua kutengezea starch tuna masoko ya nje makubwa na tutanunua bei nzuri tu mkuu.

Maelezo mengi zaidi yapo hapa mkuu
https://www.jamiiforums.com/busines...0-project-funding-sources-10.html#post2118391
Mkuu Kwema?

Bado unanunua Mihogo?

Unanunua kutoka eneo gani?

Unanunulia shambani au tukuletee mpaka kiwandani kwako?
 
Jamani bado hatujapata ufafanuzi mzuri wa kilimo cha mihogo.hatujajua kwa heka Moja unaweza kupanda kwa kiasi gani na mavuno yake yanakuaje.anayejua basi atusaidie ili tuanze maandalizi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom