Huyu RC kama yupo humu jamvini ajijue yy ni kilaza sana, tena sana sio kibaya ambacho viongozi wa dini na waandishi wa hbr walichokifanya, mtu kutoa rambi rambi lazima kuzipitishia kwake?mm nataka nitoe directly.Au kuna sheria yoyote inaratibu mambo ya misiba na utoaji wa rambi rambi
Bima haihusiki na mtu kuachishwa kazi au kuacha kazi, bima ina cover mtu akifariki au akipata ukemavu wa kudumu, reasons beyond there Lender inabid adili na mkopaji husika,akishindwa kumpata imekula kwake!
Hivi na yy aliwashawahi kunyonyoka Ngozi kama yule waziri?Maana naona uwezo wao wakutoa hoja umekua mdogo sana hata yule dogo alomtoa nishai bashite kwenye english anaeza shika naafasi zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.