ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
Juzi uchaguzi EALA umetazama channel gani? Binge live unaangalia kituo gani?Watu mna roho ngumu sana, yani mpaka leo mnatazama TBC1
Juzi uchaguzi EALA umetazama channel gani? Binge live unaangalia kituo gani?Watu mna roho ngumu sana, yani mpaka leo mnatazama TBC1
Juzi uchaguzi EALA umetazama channel gani? Binge live unaangalia kituo gani?Watu mna roho ngumu sana, yani mpaka leo mnatazama TBC1
Kuwa makini utakufa na stress za chuki zisizo na msingiHivi kuna mimtu inaangalia tbc hivi sasa?
Limkituo lenyewe linatangaza habar za uongo...
Yaani natamani nilifute hilo limsteshen kwenye king'amuzi nisilione kabisa!
Unanilazimisha kumpenda mamkitu kama hayo?Kuwa makini utakufa na stress za chuki zisizo na msingi
alijua zambia wanamuangalia mkuu. msamehe sanaNilidhani ni Kitendo tu cha siku moja labda alikikosea lakini sasa naona kama ni Kitendo ambacho amekibariki na anakifanya sasa bila hata aibu au kujishtukia kuwa anachokifanya kiukweli ni kinyume kabisa na maadili ya Utangazaji na nashangaa kwanini Uongozi wake kupitia kwa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Ryoba ambaye ndiyo Mkurugenzi Mkuu wa hivyo Vyombo bado hawajamwonya.
Ni kwamba kila anapokuwa anatangaza mipira hasa hii ya Ligi Kuu ya Tanzania bara VPL huyu Mtangazaji Enock Bwigane amekuwa na tabia ya kuudhi kama si ya kukera kabisa ya kupenda kutangaza huku akiweka maneno ya lugha yake ya Kinyakyusa kila mara kitu ambacho kiukweli nisimfiche kinatukera wengi na pengine ndiyo maana kwa udhaifu wake huu Watu wengi sasa hawasikilizi tena matangazo yao ya moja kwa moja ya mpira na badala yake sasa tumekimbilia SIKUKA fm na Radio One ambapo Watangazaji wake wanajua maadili yao.
Kila mara tu utamsikia sijui ' ndaga fijo ' akitangaza tu kidogo sijui ' kukoya ' hatujakaa sawa utasikia tena anaongea kilugha chake cha Kinyakyusa na akisema tena sijui ' ndaga fijo ' yaani ni full ' kutuboa '.
Kama vipi TBC1 na TBC Taifa hebu anzisheni haraka sana idhaa ya Lugha ya ' Kinyakyusa ' halafu mpeni Mtangazaji Enock Bwigane awe ' anatiririka ' nayo mwenyewe kila siku na Wanyakyusa wenzake ila huku TBC1 na TBC Taifa mtuachie tu akina ' Poti ' Chacha Maginga na Bingwa wa Utangazaji wa mipira kwa sasa Tanzania nzima Kamarada Jesse John.
Atakayepata ujumbe huu ' murua ' kabisa na akijua yupo karibu na huyo Mtangazaji Enock Bwigane basi amfikishie na tunamtaka abadilike haraka kama siyo upesi sana na asitake kupandikiza mbegu ya ukabila hasa katika Chombo kikubwa cha Habari ambacho ni cha Kitaifa kama hicho anachokifanyia.
Kama kawaida yangu GENTAMYCINE huwa silei ' upuuzi ' na kazi yangu siku zote ni ' kunyoosha ' tu ili Watu wakae sawa katika mstari na hatimaye twende sawa. Tanzania official language ni Kiswahili na siyo sijui Kinyakyusa au Kizanaki au Kimakuwa au Kinyarwanda.
Nawasilisha.
Mwambie huyoNi sehemu ya burudani mkuu!
Umesahau kuna mwingine hotuba za kitaifa kabisa lazima aweke kisukuma!
"Hiiiiiii bhangosha" na rais wa bank ya dunia yupo anasikiliza siku ile pale ubungo mataa!.Sembuse huyo tena kwenye michezo
Zambia na Malawi kote kwao raha sanaalijua zambia wanamuangalia mkuu. msamehe sana
Hahaaa! GENTAMYCINE njoo jina lako linavyotamkwa kwa kinyakyusa!tukabhalipo uswe, tujobhege kisita kuvhika ikya kumyetu, mweh!! ugwe gentamunaisti kalii....ujeghe miyee...