Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
nshafiwa na ndugu sana...sikuona wanasiasa...au wanaoleta siasa msibani...na wakifanya hivyo nitawafukuza
Labda Mkuu wa mkoa alikuja.Maana hamuwezi Kijani misiba mpaka mkuu wa mkoa aseme.
nshafiwa na ndugu sana...sikuona wanasiasa...au wanaoleta siasa msibani...na wakifanya hivyo nitawafukuza
Ukiona mtu ajui kutofautisha kati ya HAKI na WAJIBU ni tatizo kubwa sana na ndio wasomi wengi na vijana wengi wa Tanganyika bado wanaamini katika nguvu ya Ufahamu badala ya nguvu ya Akili ktk maisha yao ya kila sikuKwa kweli ni aibu hadi unatamani kulia. Hebu pita vyuo vikuu uone jinsi vijana wasivyoweza kujadili mambo kwa hoja! Yaani inafika mahali wakipewa boom wanaona eti serikali imewajali kumbe ni haki yao!! Ukiwakuta wanasifia mpaka unapata gadhabu!! Vijana walitakiwa kupewa wanza nafasi ndogo ndogo ili kuwaandaa waje kushika madaraka makubwa wanapofikia miaka 40 na kuendelea. Ukilinganisha wakuu wa mikoa ambao walianzia nafasi za chini utaona jinsi wanavyofanya kazi zao kwa weledi!!
Msiba ule tu sio wa bibi yakoKumbe wewe unayefikiri vizuri ni mkanada?Kwahiyo serikali ndiyo inaratibu misiba.? Hongereni sana. Msiba mwingine utakuwa wapi na ni lini?
Vunja mifupa kama bado meno ipo
Unafahamu kua serikali kuna kitu kinaitwa kamati ya maafa kwa ngazi ya wilaya mkoa na hata taifa??...kwa kukusaidia mwenyekiti wa kamati ya maafa kwa ngazi ya mkoa ni mkuu wa mkoa.
WhateverHata hizo Buku 7 kuna siku hautazipata.Hizo Buku 7 ndizo kumi zako kesho.
hata akili yako inaratibiwa na serikali?Serikali inaratibu kila kitu
Hadi biashara ya machangu??? Naona wamejaa sana mjini.... Na mauaji ya KIBITI? Maana unasema kila kituSerikali inaratibu kila kitu
safi sana rc gambo. wacha wajaze server za jf tu Hawa washabiki wa team matusi.
Ni kweli kabisa kuwapa madaraka vijana ni kujenga chuki na upuumbavu tu,wengi hawana busara zaidi visasi na ubishoo.
Mimi ni miongon mwa Watu waliokuwa wanapinga Vijana kupewa Madaraka kama Ukuu wa Wilaya na Mkoa,nilikuwa natambua ni vyeo vya heshima na vinavyohitaji hekima na busara katika kuwaongoza Watu wa eneo husika,sikuzoea kuona upuuz unaofanywa na hawa viongoz sasa nimeuona,kipindi cha hapo nyuma kulikuwa hakuna mgogoro wa Mkuu wa Wilaya/Mkoa na Wananchi au na Viongoz kila mmoja alitambua majukumu yake lakini sasa tunashudia miongon mwa viongoz hawa wanakula mpaka rambi rambi za wafiwa,hii ni laana,pesa zetu za miradi zitakuwa salama?,najaribu kujiuliza bila majibuEti ndo watu wanasema vijana wapewe madaraka!! Upumbavu mtupu. Ina maana watu kutoa rambi rambi imekuwa siasa? Serikali inapewa michango yenyewe inawapiga panga waathirika kwa nini tuendelee kupitishia michango yetu huko? Ujinga wa kiwango cha PhD huu!!
Huyu RC kama yupo humu jamvini ajijue yy ni kilaza sana, tena sana sio kibaya ambacho viongozi wa dini na waandishi wa hbr walichokifanya, mtu kutoa rambi rambi lazima kuzipitishia kwake?mm nataka nitoe directly.Au kuna sheria yoyote inaratibu mambo ya misiba na utoaji wa rambi rambi
kwa nini unaita uhalifu kuwa ni biashara?Hadi biashara ya machangu??? Naona wamejaa sana mjini.... Na mauaji ya KIBITI? Maana unasema kila kitu
hujui lolote duniani, sisi tunajenga nchiWewe unafanya nini?Siukamjibu kwenye FB yake??
Tatizo mnapenda kupiga makofi hata MTU akinya barabarani.
wanaolewa madaraka ni wale wanaolilia mic kwenye misibaHawa vijana waliolewa madaraka wanatuangusha sana kwenye uongozi