DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Drake
Mkuu labda wewe ndio humfahamu. Wengine tunamfahamu sana.Huyu mtu bongo hawamjui wao wanajua mr bean tu
Gwajima hamfikii mr bean mkuuGwajima
Chaplin had kifo chake ni kichekesho pia.....jamaa mwili wake uliibiwa na waibaj wakataka pesa ili watoe mwili....Waibaji mwili walipo kamatwa baada ya muda wakatakiwa kuonyesha walipouficha mwili...waizi hao wakawa wamesahau walipo uficha/fukia mwili.....ikawa ni kazi ingine tena...Champlin alizikwa mara mbili katk kabur lingine tofauti....Usisahau kuangalia movie yake ya modern timesMtafute huyu
Anaitwa Charlie Chaplin
Ulete mrejesho
Chaplin had kifo chake ni kichekesho pia.....jamaa mwili wake uliibiwa na waibaj wakataka pesa ili watoe mwili....Waibaji mwili walipo kamatwa baada ya muda wakatakiwa kuonyesha walipouficha mwili...waizi hao wakawa wamesahau walipo uficha/fukia mwili.....ikawa ni kazi ingine tena...Champlin alizikwa mara mbili katk kabur lingine tofauti....Usisahau kuangalia movie yake ya INDUSTRY......Mtafute huyu
Anaitwa Charlie Chaplin
Ulete mrejesho
Welcome to american si ndio huyo......pia kuna ile ya DEVIL ndiye yy aliyekuwa kamtu kadogooooo kalitumbukia kwenye kikombe ya kahawa...alishuka na ngazi toka sikioni hadi begani....Eddie griffin
Naona unajipa promoMtafute huyu
Anaitwa Charlie Chaplin
Ulete mrejesho
Naona unajipa promo