KPMG bado wana ule utaratibu wa kuchukua fresh graduates?

Kapena

JF-Expert Member
Apr 9, 2017
376
507
Mambo wakaka na wadada....

KPMG (kama zilivo big 4 zingine) huwa wana utaratibu wa ku recruit fresh graduates karibu kila mwaka....

Sasa toka mwezi wa pili nafungua website yao sioni tangazo...
Pia nikifungua job search for location Tanzania, website inani direct Kenya.

Je wakuu, hawa KPMG huwa wanaanza recruitment mwezi upi, ama tarehe zinabadilika....
Application procdure zao zikoje, unafika ofisini kujaza form ama ni online kama walivofanya PWC..

Niambieni kama ni kujaza form ofisini sasa hivi nidandie gari nifike posta ofisini kwao.

Thanks and Regards.
 
Zilishapita mkuu PWC ndo mwanzoni mwa Mwaka vigezo vyao ni Vinne tuu.

1. Form Four Division I na A au B za Mathematics na English.

2. Form Six Division I

3. University Upper Second Class ya 4.0 GPA na Ku endelea

4. Uwe Mwanafunzi ambaye unafanya final stage au umemaliza CPA.

Hawa hawawachukuagi waliounga Cheti na Diploma

Pia huwa kuna Exceptional things Kama Mtu Ukiongoza Mitihani ya CPA Over all wanaweza kukuchukua

Ila fahamu
KPMG
PWC
Deloite&Touch
Enerst na Young
Is not place for Losers Kila laheri mdogo wangu.
 
Ahsante mkuu Good People...
Kumbe ishapita... Daaaaaah what a missed chance nigga...

Mkuu sijakuelewa uliposema "is not a place for losers" una maanisha nini kiongozi
Ila fahamu
KPMG
PWC
Deloite&Touch
Enerst na Young
Is not place for Losers Kila laheri mdogo wangu.

Namaanisha ni sehemu ya watu walikua wanajitahidi shuleni I mean washindi tuu na si failures
 
Kuna waliofanya jmosi iliyopita trh 8/04,na ambao hawakuhudhuria waliitwa leo ,kuna baadhi waliyo omba excuse wameambiwa waende trh 18/04
Mkuu bado kuna dalili wataendelea kuita au tarehe hiyo 18 ndo mwisho? Wengine tunasubiria kuitwa. Siku zinavyozidi songa ndo mawazo yanazidi. Vigezo vyote tunavyo
 
Mkuu bado kuna dalili wataendelea kuita au tarehe hiyo 18 ndo mwisho? Wengine tunasubiria kuitwa. Siku zinavyozidi songa ndo mawazo yanazidi. Vigezo vyote tunavyo

Sijajua mkuu kama wataendelea kuita,sema kama kuna mtu aliapply awe na tumaini may be wanaweza kumwita,marafiki zangu wengi waliosoma engineering wametumiwa email na kuna wengine hawajatumiwa hadi muda huu.
 
Dahhh... ile Aptitude test ya PWC nikipita...... Nitafanya bonge la party
Maana ckumaliza maswali aisee
aisee interview ni mara moja tu au wanafanyaga a series of them?naona aptitude test huku mtandaoni ziko nyingi so znafanywa zote au numerical peke yake?
 
Sijajua mkuu kama wataendelea kuita,sema kama kuna mtu aliapply awe na tumaini may be wanaweza kumwita,marafiki zangu wengi waliosoma engineering wametumiwa email na kuna wengine hawajatumiwa hadi muda huu.
Asante kwa taarifa...hope wengi waloitwa waliomaliza mwaka Jana...sijasikia expected graduate aliyeitwa...tukaze maombi
 
habari wakuu,eti Deloitte wameshaita watu kwa ajili ya interview?
 
Zilishapita mkuu PWC ndo mwanzoni mwa Mwaka vigezo vyao ni Vinne tuu.

1. Form Four Division I na A au B za Mathematics na English.

2. Form Six Division I

3. University Upper Second Class ya 4.0 GPA na Ku endelea

4. Uwe Mwanafunzi ambaye unafanya final stage au umemaliza CPA.

Hawa hawawachukuagi waliounga Cheti na Diploma

Pia huwa kuna Exceptional things Kama Mtu Ukiongoza Mitihani ya CPA Over all wanaweza kukuchukua

Ila fahamu
KPMG
PWC
Deloite&Touch
Enerst na Young
Is not place for Losers Kila laheri mdogo wangu.
Mkuu sio kweli,kuna dada mmoja alikua Deloite nimesoma nae kichwani alikua mwepesi sana na amekaa hapo hadi kapata kazi Barclay's Bank na kuna msela pia hana cha one wala two kapiga sana mzigo pale and now anafanya business zake tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom