Hongera, umejaribu na umeona mambo yalivyo magumu, ni wakati wa kujipanga vizuri sasa, mambo huwa magumu kabla hayajawa mazuri na matamu, ila pia kama wewe ni mtu wa imani basi mshirikishe Mungu kwenye mambo yako kwani kuna ulimwengu wa roho pia ambao ndo unashikilia maisha yetu kwa kiasi...
Duh! kweli wazungu wametubeba, anyway, nnavyoelewa mimi dessert (inatamkwa dizet) ni vyakula vinavyoliwa baada ya mlo (wa jioni au mchana) kwa ajili ya kusaidia mfumo wa kumeng'enya mlo uliokula, na mara nyingi inakua ni vitu vitamu (sukari) kama vile keki au chocolate, ice cream au mchanganyiko...
Full point,Hapa hata usipoongea tena mwaka mzima, ushabiki wa vyama ndio unatuangusha, watu hawaangalii sifa za mgombea, wanaangalia anatoka chama gani, rubbish!
Hahahaa, tatizo ni kwamba hapa bongo interview zinafanywa kwa kienglish ila maofisini watu wanapiga kimatumbi kama kawa. Kwa hiyo English ni ya kuingilia tu, mbony shafo clemee.
TIGO ni Kama TIGO yenyewe, wizi mtupu, wanaweka bahati nasibu ya kupata milioni 4 halafu wanachagua watu wao wanawapa laki 4 kila mmoja, halafu wanatokea kwenye TV eti ni washindi, ungese mtupu, na kama wanabisha niwalipue, evidence ninazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.