Recent content by Optimistic Soul

  1. O

    Hivi inawezekanaje Maisha yako yakawa ni haya tokea mwanzo hadi mwisho?

    Hongera, umejaribu na umeona mambo yalivyo magumu, ni wakati wa kujipanga vizuri sasa, mambo huwa magumu kabla hayajawa mazuri na matamu, ila pia kama wewe ni mtu wa imani basi mshirikishe Mungu kwenye mambo yako kwani kuna ulimwengu wa roho pia ambao ndo unashikilia maisha yetu kwa kiasi...
  2. O

    Dua ya swaumu kali

    ah ebwanaee....hii kitu imenichekesha mnooo...mtanisamehe ndugu zangu mliofunga.
  3. O

    Misemo ya Mpoki jamani!

    Mpoki noma, kuna hii alitoa hadi leo nacheka, eti ukipenda usipopendwa ni sawa na kusubiri meli airport.
  4. O

    Hivi hawa the so called EWURA kazi yao ni nini?

    Nguvu zilielekezwa Arumeru na sasa msiba, nakushauri upost tena hili wazo baada ya maziko, ni suala nyeti sana.
  5. O

    Dessert ni chakula gani?

    Duh! kweli wazungu wametubeba, anyway, nnavyoelewa mimi dessert (inatamkwa dizet) ni vyakula vinavyoliwa baada ya mlo (wa jioni au mchana) kwa ajili ya kusaidia mfumo wa kumeng'enya mlo uliokula, na mara nyingi inakua ni vitu vitamu (sukari) kama vile keki au chocolate, ice cream au mchanganyiko...
  6. O

    Labour Pains ( UCHUNGU WA KUJIFUNGUA)

    Laana zetu tofauti bana ya kike haiapply kwa mwanaume, atazaa kwa uchungu, sisi ni "tutakula kwa jasho" period!
  7. O

    Unayo..,?

    Hapo kimenuka! Lol
  8. O

    Mgao wa umeme umerudi?

    Je huu ni udaku/jokes!? Hii topic ni muhim sana hebu ipeleke mahali pake tuidiscuss.
  9. O

    Slogans za ku-edit

    Full point,Hapa hata usipoongea tena mwaka mzima, ushabiki wa vyama ndio unatuangusha, watu hawaangalii sifa za mgombea, wanaangalia anatoka chama gani, rubbish!
  10. O

    sipati Ajira??

    Hahahaa, tatizo ni kwamba hapa bongo interview zinafanywa kwa kienglish ila maofisini watu wanapiga kimatumbi kama kawa. Kwa hiyo English ni ya kuingilia tu, mbony shafo clemee.
  11. O

    Makampuni ya Simu yakiongozwa na TIGO ni wizi mtupu. Tuyagomee ili yaache kutuibia

    TIGO ni Kama TIGO yenyewe, wizi mtupu, wanaweka bahati nasibu ya kupata milioni 4 halafu wanachagua watu wao wanawapa laki 4 kila mmoja, halafu wanatokea kwenye TV eti ni washindi, ungese mtupu, na kama wanabisha niwalipue, evidence ninazo.
  12. O

    Lodilofa na majibu yake....

    Aliyekua akichora zile katuni alishafariki jamani, alikua genius!
  13. O

    Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

    Kuna exception bana kwenye hiyo general rule, njoo uone kama hujaniachia nguo wewe!
  14. O

    Jamani ni saidieni mimi

    Na wewe toka rudi baada ya siku mbili uone itakuaje.
Back
Top Bottom