tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
kila nikikumbuka vituko vya lodilofa huwa nacheka...kimojawapo ni hiki hapa...akiwa ndani ya kigari chake alisimamishwa na traffic wa kike...maongezi yalikuwa hivi....
TRAFFIC; Washa indicator..
LODILOFA; Lete kona
T: washa taa
L; lete giza
T; Mbona unanichezea hivyo?
L: Hata sijakushika unasema nakuchezea, nikikushika si utasema nimekubaka? Lodilofa aliwasha kigari chake na kumuachia vumbi traffic,..je majibu gani unayakumbuka ya huyu jamaa?
TRAFFIC; Washa indicator..
LODILOFA; Lete kona
T: washa taa
L; lete giza
T; Mbona unanichezea hivyo?
L: Hata sijakushika unasema nakuchezea, nikikushika si utasema nimekubaka? Lodilofa aliwasha kigari chake na kumuachia vumbi traffic,..je majibu gani unayakumbuka ya huyu jamaa?