Searching...100%
Loading...0%
Network failed !
kwa sisi wapishi kuna starter, halafu main dish, halafu dessert, dissert huwa chakula ni chakula mwisho kwwnye mlo, usually huwa kitamu mfano ice cream, vijikaki vilivyotiwa flavour,au chocolate, au anything sweet
Ni chakula cha kuliliwa jangwani usiku. Hujamaliza, pilau wauliza vingine!!
Baada ya starter ni soup halafu ndiyo main dish mpishi
Apiaa, mkuu
Nakuambia sasa. Tangu umezaliwa ulisikia wapi chakula hicho. Miye nimekuta ugali kwa nyama, uji wa ngano, wali kwa papai la kukaanga, hayo mengine ni nini tena? Sijui chokoleti, mtakula hata amira ninyi Ohooo
Sipendi pudding mimi,nikila nahisi kutapika
Sipendi pudding mimi,nikila nahisi kutapika
Kimbley;
Nimekupenda bure kabisa mwanangu. Si vyote viliwavyo
Vipi ugali unapanda ??
Kimbley;
Nimekupenda bure kabisa mwanangu. Si vyote viliwavyo
Ugali sana tu!tena nipate ugali na bamia au mlenda na vidagaa pembeni mimi nakua hoi!!