Hahahaa, tatizo ni kwamba hapa bongo interview zinafanywa kwa kienglish ila maofisini watu wanapiga kimatumbi kama kawa. Kwa hiyo English ni ya kuingilia tu, mbony shafo clemee.Sio kila kitu Englishi, hv nikiwa najua lugha za makabila zaidi ya 20 ya Tz, sipati ajira yenye heshima hapa hapa Tanzania??