Misemo ya Mpoki jamani!

Ukubwa wa nyavu ni matundu by Kitale.Sijui kitale alikuwa ana maanisha nini!
 
]hahahah.................hafu hii ni kweli najiuliza sana kwanini uwa wanakimbia?[/B]
Sababu za kukimbia ziko nyingi,ikiwemo hiyo ya kuwahi usafiri,lakini sababu kubwa zaidi niliyogundua ni utaratibu mbovu uliopo wakati wa kushuka,ukiangalia wakati wa kuingia kwenye kivuko kuna utaratibu maalumu,vinaanza vyombo vya moto,(magari,pikipiki,baiskeli) kisha watu ndio wanafatia,lakini wakati wa kushuka vyombo vya moto vinagombea njia na waenda kwa miguu (wanyonge) kiasi ambacho inawapasa waende kwa kasi kuweza kuvipisha kwa usalama zaidi.Naamini kama wakati wa kushuka wangekuwa wanaanza waenda kwa miguu basi idadi ya wakimbia mbio ingepungua sana kama sio kwisha kabisa.Ukitaka kutathimini hilo anangalia wale wanaoelekea kigamboni wakati wakushuka mbele yao hakuna gari la abiria la kuliwahi lakini yawapasa kukimbia ili waweze kuyapisha magari yanayokuja nyuma yao.

 
Sawa nakubali, lakini pia inabidi uangalie the people who laugh at this guy's jokes. Do they really have sense of humor or are they just laughing simply because mpoki said something? Kwa kweli tuache utani, these Ze comedy people need some real acting lessons as their acting is so kindergarten. Maybe because I don't live in TZ nakuja once in a while lakini their acting is as pathetic as their political satire. There are some fine Bongo dramas ila Ze comedy kwa kweli nashindwa kucheka, I just feel sorry for them badala ya kucheka.

Sooo wht!!! Kuna aliyekuuliza? ....... ndio wale wale mnajifanya ht kuandika kiswahili hamuwezi kumbe hamna ki2. unafanya kazi za ndani huko halafu unajitaaamba na kuwakashifu wasomi wa UDSM.
 
Sooo wht!!! Kuna aliyekuuliza? ....... ndio wale wale mnajifanya ht kuandika kiswahili hamuwezi kumbe hamna ki2. unafanya kazi za ndani huko halafu unajitaaamba na kuwakashifu wasomi wa UDSM.
Una haamu nikuchambeee,nikikuchamba utaliaaaaa!.Mkuu punguza kidogo ukali wa maneno,jamaa atajinyonga.
 
Ukioga Maji Kidogo Makalio Yataonekana

 
Last edited by a moderator:
Sababu za kukimbia ziko nyingi,ikiwemo hiyo ya kuwahi usafiri,lakini sababu kubwa zaidi niliyogundua ni utaratibu mbovu uliopo wakati wa kushuka,ukiangalia wakati wa kuingia kwenye kivuko kuna utaratibu maalumu,vinaanza vyombo vya moto,(magari,pikipiki,baiskeli) kisha watu ndio wanafatia,lakini wakati wa kushuka vyombo vya moto vinagombea njia na waenda kwa miguu (wanyonge) kiasi ambacho inawapasa waende kwa kasi kuweza kuvipisha kwa usalama zaidi.Naamini kama wakati wa kushuka wangekuwa wanaanza waenda kwa miguu basi idadi ya wakimbia mbio ingepungua sana kama sio kwisha kabisa.Ukitaka kutathimini hilo anangalia wale wanaoelekea kigamboni wakati wakushuka mbele yao hakuna gari la abiria la kuliwahi lakini yawapasa kukimbia ili waweze kuyapisha magari yanayokuja nyuma yao.


Huwa wanakimbia ili kuwahi usafiri wa dala dala pale kituoni..
 
daah...huyu Mpoki kweli kiboko eti Daily News halisomwi Tandale kwa Mtogole.
 
Siishi Bongo ila kwa sasa nipo hapa huu mwezi wa tatu nakaribia kuondoka tena. Ninajaribu sana kuelewa ni nini haswa watu wanacheka kwenye ze comedy. Kiukweli hata acting yao is pathetic. Siyo kama nakandia ze comedy (maana mtanzania mkimwambia ukweli anadhani unakandia), ila jamaa hawana ishu. Mbona nina enjoy drama series nyingi tu za kibongo na hata comedi za king majuto na mze small zinafurahisha shinda hata hawa ze comedy. Tatizo siyo kuishi nje, ila sioni uchekeshaji wao, ni wa kitoto mno dizaini ya ngumbalu.

ningekuona una mana kama ungetoa maoni ya kuwajenga na siyo kuponda. Ukiwa mzalendo na nchi huwez kuwa unasema vbaya vya kwenu na kusifia vya watu.
 
hitima aiwezi kuharishwa sababu ya kukosa pilipi

kama kocha wa england anaita fabio capelo basi wa tanzania aitwe fabio kabalaghashia
 
ningekuona una mana kama ungetoa maoni ya kuwajenga na siyo kuponda. Ukiwa mzalendo na nchi huwez kuwa unasema vbaya vya kwenu na kusifia vya watu.

Achana na mpuuzi huyo anafikiri kusema anakaa nje ya nchi kuna atakemshobokea kumbe tunamuona **** tu.
 
ningekuona una mana kama ungetoa maoni ya kuwajenga na siyo kuponda. Ukiwa mzalendo na nchi huwez kuwa unasema vbaya vya kwenu na kusifia vya watu.



Naona una kasumba ya wabongo kuchukia ukweli ama umehamua tu kuwa mbishi wa kuelewa vitu. Toka lini kusema ukweli kukawa ni tatizo ama kuponda kitu? Kuwa mzalendo si lazima upende hata upuuzi ila unatakiwa pia kukosoa kwa niaba ya wahusika na ndicho nilichokifanya, je kuna kosa? Unajuwa wewe na mimi tunaweza kuangalia kitu kwenye TV na tukawa na mawazo tofauti kabisa ya tulichokiona. Mimi naweza kufagilia tulichokiona wewe ukaponda na pengine sote tukawa hatuna point katika kusifia na ukosoaji wetu. Sasa nikuulize wewe Mpoki, kwa sisi kuwa na mawazo tofauti ya tulichokiona ni kukosa uzalendo ama? Ishu hapa ni kwamba ninashangazwa na acting ya Ze Comedy, kwangu haichekeshi hata kidogo kwani acting yao is pathetic to me. Umeelewa mpaka hapo ama nirudie? Na nikasema ninashangazwa na uchekeshaji wao kwani ni wa ngumbalu, maana ngumbalu ndipo unakuta jokes kama zile za Mpoki. Sasa hapa kosa ni lipi? Na nikaongeza kusema kwamba nafurahia series zingine za kibongo kama Mze Small na King Majuto pamoja na zingine kwani zinachekesha. Sikusifia sinema hata moja ya nje ya Tanzania, sijuwi mwenzangu umeona wapi hayo maneno niliyoandika wakati hayapo, ebu naomba uniambie. Usitoe vitu tu kwenye mawazo yako finyu na kusema fulani kasema wakati si kweli. Usiwe mvivu wa kusoma na kuelewa vitu, soma na uelewe ndipo utoe mada usikurupukie tu kujibu watu ili upate kuonekana kwenye quotes.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom