Recent content by obadia90

  1. obadia90

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Saka awe makini zaidi, hii ya kupoteza mipira na tuko kwenye move itazaa bao mda si mrefu
  2. obadia90

    Bila kutaja kazi yako, weka maneno unayoyaongea kila wakati ukiwa kazini kwako

    spine-01 instability lead to port channel flapping
  3. obadia90

    Tulio hamia nyumba zikiwa hazijaisha tupeane uzoefu na changamoto

    haya maisha asee, yani siku natoa wavu wa mbu niweke kioo, jirani nae anaomba wavu ule awekd kwake ili aingie kibishi..... Kufa kufaana nimeamini.....
  4. obadia90

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    sitaki kuisema team yangu ya arsenal mapema, nitaanza lawama ikifika game ya 10 huko
  5. obadia90

    Kama umewekeza kwenye hisa za CRDB toa hela yako mapema. Mporomoko mkali waja

    nilikua nataka kutoa utt ninunue crdb, naona mambo si mazuri
  6. obadia90

    Picha: Juma Jux ameiaga rasmi kampeni ya kataa ndoa. Afunga ndoa na mchumba wake Priscilla

    kizimkazi akiachia kijiti na mimi obadia90 naoa
  7. obadia90

    Artificial Intelligence platforms

    Deepseek unlocked
  8. obadia90

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    niko fulham leo kwa mkopo
  9. obadia90

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    tupo na chelsea mpk wapagawe
Back
Top Bottom