Mtu anayejua kitu akikosea inakua mistake, asiyejua inakua ni error. Error hutokea kila mara kwa kitu kimoja kilekile.Akajirekebisha hiyo weakness atakuwa bonge la kocha
Kama mmepima mmeona hiyo ndiyo weakness tangu mumjue I have news for you bruv
Mtu anayejua kitu akikosea inakua mistake, asiyejua inakua ni error. Error hutokea kila mara kwa kitu kimoja kilekile.Akajirekebisha hiyo weakness atakuwa bonge la kocha
Fresh case ni Mosquera. Saliba anaweza kuwepo Jumamosi. Rice ameconfirm yupo sawa kabisa.Mwanangu castr vip update ya mjaeruhi
Una uhakika?Sisi ndio CHELSEA bwana the Pride of London ..🔵🔵🔵
MkohotiNuno hawezi kukubali Nottingham wasogee kwenda mbele halafu yeye abaki pale chini.
Ninaona akienda kujaribu kuleta upinzani dhidi ya United. Allypipi atakachotabiri kitatoa picha zaidi
Ushindi Ni wish ya kila Arsenal fan, ila ukweli ni kwamba kila mmoja anajua haitakuwa rahisi, na hasa ule mvurugiko wa backline yetu imefanya timu ikose balance kiainaTunaenda villa park na tunashinda Amini hili..
Hii mechi ina maana kubwa sana, kama tutashinda itakuwa ni mwendelezo wa marekebisho katika zile timu ambazo zilitunyima ubingwa msimu wa 23tukishinda hii game itakuwa unyama sana.
Shida ni kwamba kwa sasa timu yetu imepoteza balance hasa kwenye kupata magoli, tulikuwa tunafunga magoli aima zote yani kwenye set piece na open playAt this point ni ushindi tu ndiyo way forward. Kila timu hua inatusubiri kwenye long balls na kupaki basi, ni vile tu Villa amekua successful kuzidi wenzake ndiyo sababu tunahofia anaweza haribu shughuli
AiseeHii game tukipata ata suluhu TU inatosha, maana Unai waga ni kama vile bado ana bifu na Arsenal, huwa anachukulia very personal
Wakati sisi tunaomba suluhu na City nae apate suluhu kwenye game yake na Sunderland lasivyo maji yatazidi Unga
Upo sahihi, kuna interview moja ya Saliba alisema anajaribu na yeye kuhusika zaidi kwenye kufunga kwakua mara zote amekua akifanya set up ya Magalhaes kuscore.Shida ni kwamba kwa sasa timu yetu imepoteza balance hasa kwenye kupata magoli, tulikuwa tunafunga magoli aima zote yani kwenye set piece na open play
Ila tangu Gabriel apate majeruhi hatujafunga tena goli la set piece na hii ni wazi kuwa Kuna nguzo imepungua kwa sasa katika timu yeti
Na Saliba nae kuumia kumeongeza kitu kwa timu pinzani na kupunguza kitu kwetu, timu pinzani hawatuoni tena kama timu ngumu kufungika kwa sababu Moja ya fear factor haipo
Msimu huu ndio ule msemo wa Sir Alex Ferguson "Attack wins you games, defence wins you titles" ulikuwa unaenda kutimia, kwa sababu ata ukipata goli moja la set piece na ukalilinda umepata point 3
So tulikuwa na Advantage ambayo City msimu huu hana kwa sababu ana ruhusu sana Magoli though nayeye anafunga sana magoli na faida ingine kubwa aliyonayo City hana bahati mbaya ya Majeruhi kama sisi
Kabisa, ngoja tuone lineup Arteta amekaa vp leo.Hii mechi kila mtu anaisemea jambo.
Mimi naona kwa leo tuna fursa ya kufia arena kwakua CL tunakuatana na timu ya kawaida.
Inaaminiwa Saliba atakuepo leo. Na ingawa Gyokeres amerudi ila Merino works hard so inawezekana kabisa akaanza Merino. Odegaard karudi, Eze anaweza kupelekwa LW.
Ngoja kikosi kije
ThanksSet quality la sivyo utashangaa MBs zinapita kama upepo