Shida ni kwamba kwa sasa timu yetu imepoteza balance hasa kwenye kupata magoli, tulikuwa tunafunga magoli aima zote yani kwenye set piece na open play
Ila tangu Gabriel apate majeruhi hatujafunga tena goli la set piece na hii ni wazi kuwa Kuna nguzo imepungua kwa sasa katika timu yeti
Na Saliba nae kuumia kumeongeza kitu kwa timu pinzani na kupunguza kitu kwetu, timu pinzani hawatuoni tena kama timu ngumu kufungika kwa sababu Moja ya fear factor haipo
Msimu huu ndio ule msemo wa Sir Alex Ferguson "Attack wins you games, defence wins you titles" ulikuwa unaenda kutimia, kwa sababu ata ukipata goli moja la set piece na ukalilinda umepata point 3
So tulikuwa na Advantage ambayo City msimu huu hana kwa sababu ana ruhusu sana Magoli though nayeye anafunga sana magoli na faida ingine kubwa aliyonayo City hana bahati mbaya ya Majeruhi kama sisi