Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,915
- 75,759
USione aibu mtoto mzuri. Bado mechi moja tuView attachment 3590917
Aibu naona mimi.
USione aibu mtoto mzuri. Bado mechi moja tuView attachment 3590917
Aibu naona mimi.
Sa iv mpe masaa tuTusamehe sana kwa hilo, Tupe wiki mbili tu mkuu
PGMOL wameamua msimu huu Arsenal awe bingwa kwa gharama yoyote ileKwamba ile rafu haikuwa red card? Sawa
Mmeanza kutupa lawama kwa PGMOL😂PGMOL wameamua msimu huu Arsenal awe bingwa kwa gharama yoyote ile
Pain, is that you 🫵😂Kocha wa jana alikuwa kwenye payroll ya Stan Kroenke
Kwa hiyo man city alipodraw na westham 3 kwa 3 naye ilikuwa PGMOL imeamua Arsenal awe bingwa?PGMOL wameamua msimu huu Arsenal awe bingwa kwa gharama yoyote ile
Hamna uwezo wa kubeba chochote,mkibeba hata kikombe cha kahawa msimu huu niitwe jibwa koko.Mkuu penalty tulizonyimwa.....yule forward wa washkaji alokuwa anaparamia waxhezaji wetu yte hujaona umekuja kuona hii soft tackle....ama kwli mchawi Hana sababu🤠🤠.....wikiendi ijayo nimeshaandaa uniform zako za kuvaa kwa ajili ya kugawa vinywaji kwa wageni mtani.....ufike eneo la tukio mapema bila kukosa
We jike la mbwa koko una endeleaje?Hamna uwezo wa kubeba chochote,mkibeba hata kikombe cha kahawa msimu huu niitwe jibwa koko.
Aisee! mungu yupo upande wenu mafala nyie, mchukue tu hili. UEFA hapana aisee, eeh mungu hii dunia itakua chunguWe jike la mbwa koko una endeleaje?