TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,710
- 20,709
Hizi dakika ni nyingi bado 🤔Dunia itafurahi Sasa ♥️♥️♥️♥️ timu Bora imeshinda
Hizi dakika ni nyingi bado 🤔Dunia itafurahi Sasa ♥️♥️♥️♥️ timu Bora imeshinda
Mkuu natubu😂😂Greatest Of All Time
Umetoka kumdhihaki huyo mwamba dakika 5 hazijaisha
Uwanja ni kama uliinama toka filimbi ya kwanza ya muamuzifainal gani hii
yaan fainal dundo lote anapiga spain
halafu unasema kali hamna kitu humu
Kwamba mashuti zaidi ya 20 na goli moja na save kama zote za Emiliano Spain hawafanyi kitu?Spain wanachokifanya ni nini??
Na wewe si timu Argentina kabisaKuna GOLI lingine hapa
Hata on target moja hakuna 😄😄😄😄😄😄Hizi dakika ni nyingi bado 🤔
Ikitokea hivi kwa watu wasio hata na shot off target na wako punguza1-1 hii
Labda mshinde njaaHalali inashinda leo