Bado damu yako mbichi sana mtoa mada. Basi endelea tu kubadilisha vimada. Kugegeda . Kufunga ndoa za mikataba.
Umri ukienda kidogo utakaa chini ujitafakari upya wapi unakwena na umepata faida gani kwa uliyofanya
Kwa mujibu wa maelezo yako, wewe hata zile siku ambazo huendi popote basi hutaki kufanya kazi za nyumbani. Wala hupendi mambo ya kujishughulisha na family
Hivyo ndivyo nilivyokuelewa.
Sasa kama huwez japo kupika chakula chako mwenyew. Kuna nin utaweza? Mim napika mwenyew na kazi zote mwenyew. Na naenjoy sana.
Piga vita uvivu ndugu yangu. Uvivu ni ndugu yake umaskini.
NB: ONDOA UVIVU ONDOA UMASKINI
Mwanamme haogopi majukumu. Hayo ndo maisha.
Sasa umuache ili iwe nini? ukishamuacha huyo utakae mpata mwengine hatakua na wategemezi? Hata kama hatokuwa na wategemezi, atakupenda kama anavyokuoenda huyu wa sasa?
Tumia akili tu na tafakari. Usifuate mkumbo. Fanya umuoe ili upate baraka kenye...
Hivi nyie muna evidence yoyote na mnachoongea? Au ni mawazo yenu tu. Hebu naomba basi kama kuna data au research naomba, inayofafanua kua waarabu wote au watu weupe wanadharau kuliko weusi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.